Friday, March 22, 2013

Rais Kikwete awataka vijana wawe wazalendo, wasifurahie nchi inaposemwa vibaya


Rais wa JK amewataka vijana kuacha kushabikia watu wanaoisema nchi vibaya, amesema enzi zao watu waliokuwa wakiisema nchi vibaya walikuwa wanawachukia tofauti na saizi vijana wanashabikia!

Akizidi kuongea, kuwa endapo nchi itasemwa vibaya basi wao huchukia!
Kauli hiyo ameitoaJana jijini D'Salaam

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...