Friday, February 28, 2014

MASIKINI YA MUNGU MTOTO HUYUUU...!!! KICHWA NA MWILI VYAUNGANA BAADA YA KUUNGUA MOTO

MTOTO Adolotea Njavike(1.4) ambae Kichwa na Kiwiliwili vimeungana baada ya kupata na ajali ya Moto akiwa na mama yake Mzazi.
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-like page ya facebook ya Jambo Tz

BENKI YA DUNIA YAISIMAMISHIA UGANDA MISAADA

S_77135.png
Benki ya dunia imesitisha mkopo wa dola milioni 90 kwa Uganda wa kuimarisha sekta ya afya kufuatia kupitishwa kwa sheria inayoharamisha ushoga na kutoa adhabu kali kwa watakaopatikana na hatia
Hatua hiyo ya benki ya dunia haikutarajiwa na wengi kwani taasisi hiyo mara nyingi hujiepusha kuingilia masuala ya ndani ya kisiasa ya nchi wanachama au kuhusiana na masuala kama haki za mashoga, kuepuka kuzishurutisha nchi wanachame wake 188.
Hata hivyo msemaji wa benki hiyo David Theis amesema katika barua pepe kuwa wamesitisha mradi huo wa kuboresha sekta ya afya ya Uganda hadi watakapoufanyia tathmini na kuhakikisha malengo yake ya maendeleo hayataathiriwa na sheria hiyo mpya ya kuharamisha ushoga.
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-like page ya facebook ya Jambo Tz

AJALI, BASI LAGONGA TRENI, WANNE WAFARIKI

ajali_c4aaf.jpg
Basi la Bunda Express lililokuwa likitokea Dodoma kwenda Mwanza asubuhi ya leo limegonga Treni Eneo la Manyoni mkoani Singida. Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-like page ya facebook ya Jambo Tz

ajali1_6a6b0.jpg
Basi la Bunda Express lililokuwa likitokea Dodoma kwenda Mwanza asubuhi ya leo limegonga Treni Eneo la Manyoni mkoani Singida.
ajali3_57f09.jpg
Kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka eneo la tukio kinasema kuwa watu wanne wamefariki dunia na kadhaa kujeruhiwa.
Majeruhi Tayari wamepelekwa kwenye Hospitali ya Wilaya ya Manyoni.
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-like page ya facebook ya Jambo Tz

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARI 28, 2014 YA UDAKU, MICHEZO NA HARD NEWS

.
.
.
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-like page ya facebook ya Jambo Tz

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...