Thursday, September 10, 2015

ZIJUE REKODI ZA RONALDO NA MESSI KWENYE MICHUANO YA ULAYA

Messi vs Ronaldo
Lionel Messi na Cristiano Ronaldo wote kwa pamoja wana magoli 80 katika michuano ya Ulaya–lakini je, kila mmoja amefunga kuoka eneo gani? je, kwa mguu gani (kushoto ama kulia)? ndani ya boksi au nje ya boksi? dhidi ya nani (timu gani)? Takwimu zote zipo hapa

Asante kwa kutembelea blog hii, endelea kuwa nasi, like page yetu ya facebook bofya neno Jambo Tz.

KUMBE ARSENE WENGER ALIKUA ANAKARIBIA KUJIUGA NA REAL MADRID

dadff

Kocha wa club ya Arsenal alikaribia sana kujiunga na club ya Real Madrid, rais wa zamani wa Real Madrid Ramon Calderon ametoa hiyo siri kwamba walijaribu kumpata kocha mara kadhaa lakini Arsene Wenger alisisitiza kubaki na club yake ya Arsenal.

Ramon Calderon alisema,“Nafikiria kila mtu akiwa kama kocha au mchezaji katika wakati wake kucheza soka lazima atakua na hamu ya kujiunga na club ya Real Madrid, hasa ukiwa kwenye club moja kwa miaka 15. 

Kwa kipindi kile Arsene Wenger alikua anapenda kilichokua kinaendelea kwenye club yetu. Nakumbuka aliniuliza unapanga kutengeneza Hollywood au unataka kutengeneza club ya soka. Alikua anazungumzia sera yetu ya kusajili nyota.”

“Mambo hayakwenda kama tulivyotegemea kwasababu alikua anaipenda sana Arsenal, Wenger ni mtu mwenye heshima sana. Hauwezi kumuona yupo kwenye mzozo, anaweza kuwa kwenye mzozo na marefa lakini haiwezi kuwa kama anavyofanya Mourinho.”

“Wenger ni manager mzuri na mtu safi na nina imani hiyo ndiyo sababu ya mafanikio yake.” Asante kwa kutembelea blog hii, endelea kuwa nasi, like page yetu ya facebook bofya neno Jambo Tz.

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...