Saturday, December 07, 2013

PICHA ZAIDI ZA MUONEKANO WA NDANI NA WA NJE WA BASI LIENDALO KASI


USISAHAU KU LIKE PAGE YETU YA FACEBOOK UPANDE WA KULIA



Mabasi ya mwendo kasi 2014 kimara kivukoni. Picha kwa hisani ya Deo Mutta Mwanatanga



Mabasi ya mwendo kasi 2014 kimara kivukoni.  Picha kwa hisani ya Deo Mutta Mwanatanga

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI DESEMBA 07, 2013 YA UDAKU, MICHEZO NA HARD NEWS


.
.
.

HII HAPA RATIBA KAMILI YA MAZISHI YA MADIBA

Rais Jacob Zuma ametangaza kwamba mazishi ya Nelson Mandela yatafanyika siku ya Jumapili, Desemba 15 kijijini kwake Qunu, katika jimbo la Eastern Cape.
Rais Zuma pia ametangaza siku 10 za maombolezo kitaifa na bendera zitapeperushwa nusu mlingoti katika muda wote huo.  Na ameitangaza siku ya Jumapili ya Desemba 8, 2013 kuwa siku maalumu ya kitaifa ya maombolezo na kumkumbuka Madiba nchi nzima.
 Tayari msisimko wa mazishi hayo yanayotarajiwa kuwa ya kihistoria umekamata dunia nzima, ambapo tayari Rais Obama wa Marekani, mstaafu Bill Clinto na Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron ni baadhi tu ya viongozi ambao wamethibitisha kushiriki. 
 Sala ya mazishi imepangwa kufanyika katika uwanja wa Taifa wa  FNB  Desemba 10, 2013  jijini Johanesburg.
Mwili wake utawekwa jengo la serikali liitwalo Union Buildings kuanzia  Desemba 11 hadi 13,   kwa kupewa heshima za mwisho, kabla ya kupelekwa kijijini Qunu kwa mazishi
 Uwanja wa Taifa wa michezo wa Johannesburg ambako sala rasmi ya Kitaifa ya mazishi itafanyika  siku ya Jumapili ya Desemba 10, 2013
 Jengo la Union Buildinga ambapo mwili wake utawekwa kwa ajili ya kupewa heshima za mwisho kuanzia Desemba 11 hadi 13, 2013
Ulinzi mkali katika nyumba ya familia ya Madiba kijijini kwake Qunu ambako atapumzishwa katika nyumba yake ya milele Desemba 15, 2013.

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...