Wednesday, May 29, 2013

Justin Bieber matatani tena,majirani wamtuhumu kuvuta bangi mbele ya watoto na kupiga kelele ovyo usiku wa manane


Siku chache baada ya kuondoa stress za mahusiano ya mapenzi juu ya Selena Gomez ‘The Beauty and beat singer’ Justin Bieber amekumbana na matatizo mengine ambayo yanaweza kuwa makubwa zaidi ya stress alizokuwa nazo, baada ya kuwa kero kwa majirani zake ambao wanajuta kukaa karibu na staa huyo kwa kuwa tabia zake zimeuharibu utulivu uliokuwepo katika ujirani huo huko Los Angeles.

Majirani hao wameiambia TMZ kuwa Bieber na marafiki zake wamekuwa wakisababisha kelele nyingi usiku wa manane wanaporudi kutoka viwanja na kuendesha gari lake aina ya Ferrari kwa fujo na wakati mwingine pikipiki yake, lakini pia hata wakifikika nyumbani huendeleza party huku wakiachia sauti juu na kuwanyima usingizi majirani hao.

Majirani hao walisema mida ya mchana Bieber hupita na gari lake taratibu mbele ya watoto wadogo huku akivuta marijuana a.k.a bangi waziwazi, na kwamba siku moja mwimbaji huyo alikuwa anaendesha akiwa na rafiki yake ambae pia alikuwa anavuta bangi.

Walisema hata bodi ya mmiliki wa nyumba hizo imewaambia majirani hao kuwa amepanga kuripoti polisi suala hilo kwa kuwa ni swala la kiharifu na linalovunja haki za msingi za majirani hao. Majirani hao pia wamesharipoti polisi tayari na polisi wamepanga kuzuia uendeshaji magari mida ya usiku sana katika maeneo hayo ili kuondoa kero hizo.

Mkasa huu uliompata wa kuchukiwa na majirani zake unaweza kufanana kidogo na ule wa Chris Brown kushtakiwa na majirani zake kwa kuwa alichora michoro iliyosemekana kuwatishia watoto wao. Lakini hii ya Bieber kuvuta marijuana mbele ya watoto wao itakuwa imetisha zaidi.

DAKTARI ATHIBITISHA KUWA MANGWEA KAFARIKI KWA KUJIOVERDOSE HEROIN NA CRACK

 
 
The Medical report from Helen Joseph hospital,Dr Shirley Radcliffe  confirming that albert Mangwairdied from “alcohol toxicity” after drinking toomuch,Over-exhaustion and drugs overdose....The inquest heard that Albert 28, collapsed in the his friends home had been more thanfive-times the legal S.A drink-drive limit with 416mgof alcohol per 100 millilitres of blood in hissystem....
Radcliffe described thereasons for ICU admission included hypoxemia and one of his friend found “two empty vodka bottles[found] on the Car” and he hadbeen suffering from the eating disorder Bulimiafor several months before his death and endless partying session with little or no resting...sample taken from his stomach showed poly-drug cocktail and he overdosed Heroin,Cocaine 'crack' and cannabis 0.08gms was also found in his blood...and his death was caused by massive heart attack and respiratory failure followed by sudden Heart stop...and end up dead within seconds! R.I.P Mangwear!

HISTORIA YA MAREHEMU NGWAIR ALIYOISEMA MWENYEWE KWENYE INTERVIEW YAKE YA MWISHO

 
JINA LAKE HALISI NI ALBERT KENETH MANGWAIR,NI MTU WA RUVUMA MNGONI...,,,,MNGONI,LAKINI ALIZALIWA MBEYA TAREHE 16 NOVEMBER,MWAKA 1982.YEYE NI MTOTO WA MWISHO KWAO,KWA BABA AKIWA MTOTO WA 10,KWA MAMA AKIWA MTOTO WA 6.
NGWAIR ASILI YAKE NI RUVUMA,YAANI MNGONI, ALIZALIWA MBEYA,A KIWA MIAKA 5 WALIHAMIA MOROGORO AKASOMA SHULE YA MSINGI BUNGO HADI DARASA LA 5,BABA YAKE AKAPATA UHAMISHO AKAHAMIA DODOMA,SO AKAHAMA NA BABA YAKE AKAENDA AKAMALIZA SHULE YA MSINGI MLIMWA DODOMA.BAAADAE MAZENGO SEC,THEN CHUO CHA UFUNDI MAZENGO

WIMBO WA CHID BENZ UNAITWA R.I.P NGWAIR. USIKILIZE NA KUDOWNLOAD



Click hapa>>>>>>       Chid Benz - Albert Mangwea

(News) Staki kusikia nyimbo zote za marehemu ALBERT MANGWEAR alizorekodi BONGO REC zikipigwa CLOUDS FM kuanzia sasa.

 Muda mfupi uliopita nilipokea simu kutoka kwa Producer mkongwe hapa bongo anajulikana kwa jina la P Funk Majani na kuniomba nipokee msg hii hapa chini na kuwaomba watanzania walijue hili na baadae atatoa barua rasmi.

TAARIFA YA KIFAMILIA KUHUSU MAZISHI YA NGWEA NA JINSI MWILI HUO UTAKAVYOLETWA TANZANIA

 
Baba Mdogo wa Marehemu Mzee Mangweha ambaye yuko Mbinga Songea kikazi, amesema kuwa wamekubaliana na kaka yake mkubwa yaani baba mkubwa wa Ngwair, David Mangweha ambaye naye yuko Songea kuwa watu watakutanika Mbezi kwa msiba na pia mapokezi yatafanyika hapa Dar es salaam Mbezi Beach. 
Ingawa bado kikao cha familia nzima hakijafanyika lakini baba huyo mdogo amesema wanaweza kulazimika kuzika Morogoro sehemu ambayo baba yake alizikwa.
Baba huyo mdogo alisema kuwa kesho ndo watarudi Dar es Salaam pamoja na kaka yake yaani baba mkubwa wa marehemu. 

Kuhusu mwili kuletwa hapa Tanzania kutoka Afrika Kusini baba mdogo amesema kuwa mpaka sasa hawajajua jinsi gani mwili huo utafika hapa lakini kuna ndugu zao ambao tayari washaanza kufanya taratibu za kuwasiliana na ubalozi wa Afrika Kusini ili kujua ni jinsi gani mwili huo utafika hapa.

Kama kutakuwa na mabadiliko yeyote watakapowasili kesho baba mdogo na baba mkubwa baada ya kikao cha familia watatoa taarifa.

MAAJABU AGNESS JERALD ‘MASOGANGE’ ANASUMBULIWA NA TATIZO LA KUOTA NDOTO MBAYA USIKU NA KUAMKA KISHA KUTOKA NJE NA KUTIMUA MBIO.


VIDEO Queen wa Bongo Fleva, Agness Jerald ‘Masogange’ anasumbuliwa na tatizo la kuota ndoto mbaya usiku na kuamka kisha kutoka nje na kutimua mbio, jambo ambalo kwa wengi linaweza kuonekana kuwa ni maajabu.
 
                                                        Agness Jerald ‘Masogange’.
Habari kutoka kwa sosi wetu, zinasema kuwa katikati ya wiki iliyopita, Masogange akiwa ndotoni, aliamka na kufungua milango na geti la nje kisha kutimua mbio umbali mrefu akiwa na nguo za kulalia na miguuni hana  viatu.

“Bahati nzuri ni kwamba, wakati anahangaika kufungua geti, rafiki yake aliyekuwa amelala naye alishtuka na kushangaa kukuta milango iko wazi. Alipotoka nje, akakuta Masogange ndiyo anamalizia kufungua geti kubwa na kuanza kukimbia hivyo akamkimbiza,” kilieleza chanzo chetu.
Akaongeza: “Lakini pia aliwapigia simu marafiki zake wengine na kuwajulisha juu ya tukio hilo, maana mwenyewe ilikuwa mara ya kwanza kumuona katika hali hiyo.”

MASOGANGE ANASEMAJE?
Risasi Mchanganyiko kama ilivyo kawaida yake ya kutokukurupuka, lilimsaka Masogange kwa simu na kufanikiwa ambapo alithibitisha tukio hilo na kufafanua kwamba liliwahi kumtesa kwa muda mrefu huko nyuma, likaisha.

“Ilikuwa hatari sana lakini namshukuru rafiki yangu kwa kunisaidia. Unajua hili tatizo liliwahi kunitesa sana wakati nikiwa mdogo lakini nilikwenda Mbeya nikapewa dawa tatizo likapotea kabisa hadi juzi liliporudi tena,” alisema.
Habari na Global Publishers.

NGWAIR ALIKUA MUUMINI MZURI, NA MASAA MACHACHE KABLA YA KIFO ALIANDIKA MSTARI HUU KUTOKA KATIKA BIBLIA


MAGAZETI YA LEO JUMATANO MEI 29, 2013

7 02703  1 45fee

SIKILIZA NA DOWNLOAD NYIMBO YA MAOMBOLEZO KWAAJILI YA KIPENZI CHETU ALBERT MANGWEA...R.I.P BROTHER

SONG - R.I.P BROTHER NGWEA
ARTIST - MOZEH THOMAS & MIRROR RHYMES
OVERCLASSIC MUSIC/ EIZER
 SIKILIZA HAPO CHINI...

Click hapa >>>>>         R.I.P NGWEA

 

KAULI YA MAMA MZAZI WA NGWEA..... "MWANANGU ALINIAHIDI KUWA ATARUDI IJUMAA ILIYOPITA"

Marehemu Albert Mangwair enzi za uhai wake.

Akiongea kupitia kipindi cha Amplifire cha Clouds FM, kutoka mkoani Morogoro, mama mzazi wa msanii Albert Mangwair aliyefariki dunia leo akiwa nchini Afrika Kusini, amesema kuwa mara ya mwisho kuwasiliana na marehemu ilikuwa wiki mbili zilizopita ambapo Mangwair alimwambia kuwa mzima na anaendelea vizuri na kwamba angerejea nchini Ijumaa iliyopita. Aliongeza kuwa taarifa za kifo cha mwanaye amezipata jioni hii kwa masikitiko. Wakati Mangwair anaelekea Afrika Kusini hakumuaga mama yake japo akiwa huko alikuwa anawasiliana naye. Kuhusu taarifa za mazishi mama Mangwair amesema bado anasubiri shemeji zake wafike ili wapange. Mungu ampumzishe Mangwair mahali pema peponi. Amen!

MWANA FA NA KALAPINA WAAHIRISHA SHOW ZAO ZA MWISHO WA WIKI KUTOKANA NA KIFO CHA MSANII MANGWEA...

Kutokana na habari za kufariki kwa mwanamuziki Albert Mangwair, msanii ambaye ni mmoja kati ya wana Hip Hop maarufu nchini, Mwanamuziki mwingine pia wa Hip Hop Hamis Mwin'jumah, a.k.a MwanaFA(Pichani)nametangaza kuahirisha show yake ya The Finest iliyokuwa ifanyike Ijumaa hii May 31, 2013.

 
MwanaFA ameiambia Mdimuz Blog kwamba kuguswa kwake na taarifa hizi kumesababisha ajisikie kuomboleza kwanza, kabla maisha mengine hayajaendelea, kwa hiyo amewaomba radhi mashabiki, hasa wale waliokuwa wameshanunua tiketi, na kuwaomba wawe na subira, tarehe y

SIRI YA MAFANIKIO YA MUONEKANO MPYA WA VICENT KIGOSI

Kwa Kipindi kirefu amekuwa akionekana kuwa mwenye mwili nadhifu na
mengine yakizushwa
kwa kila aina ya usemi....Lakini Blog yako ya This is Diamond imeweza
Kujua Lililo nyuma ya pazia...
The Prezdah wa Bongo Movie Vicent Kigosi almaarfu kama
Ray the Greatest, ameamua kueka kando mambo yote ya starehe
na hivi sasa yuko gym kutengeneza
 mwili wake na Afya kwa ujumla ili kulitumikia vyema Taifa lake la
 Tanzania kupitia tasnia ya Film..

Zifuatazo ni Picha kadhaa tu Star Huyo wa BongoMovie akiwa
Gym akitengeneza mwili kiujumla...


Hakika Ray the Greatest  Huu ni mfano wa kuigwa kwa wewe
 mwananchi kwa kufanya mazoezi
kutengeneza afya yako kwa ujumla......

This is Diamond inakutakia Baraka tele na Amani katika kazi
 yako ya sanaa na mipango
Lukuki kwenye jamii....

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...