Wednesday, February 10, 2016

MAGAZETI YA LEO JUMATANO FEBRUARI 10, 2016

DSCN0076 DSCN0078 DSCN0079 DSCN0080 
Like page yetu ya facebook Jambo Tz

WEST HAM YAITUPA NJE LIVERPOOL

Raha ya mechi bao, wachezaji wa West Ham United wakishangilia 
 
Wagonga nyundo wa London West Ham United imewatupa nje majogoo wa Anfield Liverpool katika mchezo wa raundi ya nne ya kombe la FA.
West Ham walianza kuandika bao lao la kwanza kupitia kwa Michail Antonio katika dakika ya 45 ya kipindi cha kwanza baada ya kunganisha krosi nzuri Enner Valencia's
Liverpool wakachomoa bao hilo kupitia kwa kiungo Philippe Coutinho aliyepiga mpira wa adhabu na kujaa nyavuni moja kwa moja.
Dakika tisini zikamalizika kwa sare ya bao 1-1, katika dakika 30, za nyongeza West Ham wakapata bao kupita kwa Angelo Ogbonna,
West Ham watawavaa Blackburn ugenini katika mchezo wa raundi ya tano ya michuano hiyo hapo Februari 21. Like page yetu ya facebook Jambo Tz

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...