Sunday, September 13, 2015

MATOKEO YA MECHI ZA UFUNGUZI WA LIGI KUU TANZANIA BARA (VPL) HAYA HAPA


Pazia la ligi kuu Tanzania bara limefunguliwa rasmi jana ambapo michezo saba zimechezwa kwenye viwanja tofauti wakati jumla ya timu 14 zilikuwa viwanjani zikiwania pointi tatu muhimu, matokeo ya mechi zote zilizochezwa siku ya Jumamosi ni kama ifuatavyo; 

Azam FC 2-1 Tanzania Prisons (Azam Complex, Chamazi) 

African Sports 0-1 Simba (Mkwakwani, Tanga) 

Ndanda FC 1-1 Mgambo JKT (Nangwanda Sijaona, Mtwara)

Toto Africans 1-0 Mwadui FC (CCM Kirumba, Mwanza) 

Stand United 0-1 Mtibwa Sugar (Kambarage, Shinyanga)

Majimaji FC 1-0 JKT Ruvu (Majimaji, Songea) 

Mbeya City FC 0-1 Kagera Sugar 

Leo utachezwa mchezo mmoja wa ligi kuu Tanzania bara kwa kuzikutanisha Yanga dhidi ya Coastal Union ya Tanga mchezo utakaopigwa kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

MATOKEO YA MECHI ZOTE ZA EPL ZILIZOPIGWA JUMAMOSI NDIO HAYA HAPA

Jana kulipigwa michezo saba kwenye ligi kuu nchini England (VPL) ambapo mbali na mchezo wa Manchester United dhidi ya Liverpool, kulikuwa na michezo mingine ambayo huenda hukupata muda wa kuitazama yote kwa pamoja. hapa chini kuna matokeo ya mechi zote saba zilizochezwa Jumamosi.

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...