Sunday, September 13, 2015

MATOKEO YA MECHI ZOTE ZA EPL ZILIZOPIGWA JUMAMOSI NDIO HAYA HAPA

Jana kulipigwa michezo saba kwenye ligi kuu nchini England (VPL) ambapo mbali na mchezo wa Manchester United dhidi ya Liverpool, kulikuwa na michezo mingine ambayo huenda hukupata muda wa kuitazama yote kwa pamoja. hapa chini kuna matokeo ya mechi zote saba zilizochezwa Jumamosi.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...