Saturday, August 24, 2013

KUWA WAKWANZA KUSIKILIZA NA KUDOWNLOAD WIMBO WA MSANII MPYA WA HIP HOP CHATTA RYMES KUTOKA SHY TOWN

Ujio mpya katika mziki wa kizazi kipya katika miondoko ya hiphop.. Anaitwa ISSA ALLY  a.k.a CHATTA RYMES  ni kijana mdogo mwenye uwezo wa kushangaza katika mziki Anakuja na wimbo wake mpya  aliofanya na KING DIZZO unaitwa SEMA NAO ameufanyia katika Studio  za SHY TOWN REC pande za SHINYANGA Tz


Kwa muonekano ni mdogo lakini kiuandishi ni hatari sana na anaplan ndefu ya kuhakikisha mziki unaweza kumlipa na kumfanya aendeshe maisha yake kupitia mziki na hatimae kuitangaza Tanzania kimataifa zaidi.


SUPORT YAKO NDIO ANAYOIHITAJI 



                   ARTIST: Chatta Rymes Ft King Dizzo

                   TRACK:Sema nao

                   STUDIO:Shy Town Recs

                   PRODUCER:Hance Q

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI AUGUST 24, 2013 YA UDAKU, MICHEZO NA HARD NEWS

CHANZO CHA MAUAJI YA BILIONEA ERASTO MSUYA HIKI HAPA


 Mbunge wa Simanjiro Ole Sendeka alipo wasili Msibani.



Mc wa Shughuli ya Mazishi alikua ni JB.



Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...