Saturday, August 31, 2013

TAZAMA PICHA ZA UZINDUZI WA ''FOOLISH AGE'' YA ELIZABERTH MICHAEL (LULU) MASHABIKI WAMTUNZA CHUNGU CHA PESA


 


 
 
 
 
 
MSANII wa Filamu Bongo, Elizabeth Michael 'Lulu', usiku wa kuamkia leo amefanikisha zoezi la uzinduzi wa filamu yake mpya inayokwenda kwa jina la Foolish Age .

DIAMOND NA LINAH WANASWA WAKICHOMBEZANA NDANI YA GARI...!!!






Tabia mbaya! Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amenaswa na msanii mwenzake, Esterlina Sanga ‘Linah’ wakiwa kwenye mapozi ya kimahaba ambayo yametafsiriwa vibaya.

Katika tukio hilo lililojiri juzikati kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora ndani ya Tamasha la Serengeti Fiesta, Diamond alishuhudiwa akiwa amempakata Linah ndani ya basi huku mikono ya jamaa huyo ikishika maeneo nyeti.
Mara baada ya kutimba uwanjani hapo wakitokea hotelini tayari kwa kufanya shoo, Diamond na Linah walibaki kwenye basi wakiwa wamepakatana na hata msichana huyo alipomaliza shoo yake kali mishale ya saa 3: 00 usiku, alirejea mikononi mwa Diamond ambaye alimpachika mapajani.

WADAU WA BLOG YA JAMBO TZ, PENDEKEZA BLOG YAKO HII IINGIE KATIKA SHINDANO LA TANZANIA BLOGS AWARDS LEO


Jambo Tz Blog tunapenda kuwashukuru wasomaji wetu wote kwa kufuatilia habari zetu za kila siku pia kwa kutoa maoni yenu mara kwa mara ili kuboresha zaidi blog hii kwa maslahi ya jamii yetu ya kitanzania. Pia tunapenda kuwataarifu kuwa:-

Tanzanian Blog Awards wamefungua shindano la kutafuta blog bora 2013 ambazo zimewekwa katika makundi mbalimbali, lakini tunaomba uipendekeze blog hii ili iingie katika tuzo hizo katika vipengele vifuatavyo:-

Best General Blog
Best News Blog
Best Educational Blog
Best Creative Writing Blog
JINSI YA KUPENDEKEZA
Mapendekezo yote yatatumewa kwa E:mail peke yake kwa kufuata hatua zifuatazo.
Nenda eneo la subject utaandika jambotz8.blogspot.com
Nenda eneo la uwanja wa ujumbe utaandika vipengele ambavyo blog hii inashindania ambavyo ni   Best Newcomer Blog,
                         Best News Blog,
                         Best General Blog,
 Best Educational Blog,
 Best Creative Writing Blog
Andika zote kwa pamoja na Baada ya hapo tuma kwenda nomination@bloggersassociationoftanzania.com au tanzanianblogawards@gmail.com

Shindano hili limeanza tangu tarehe 17.08.2013 na litaisha tarehe 02.09.2013
**************************************************************************



NOMINATE JAMBO TZ  BLOG FOR THE 2013 TANZANIAN BLOG AWARDS
How to nominate(E.mail)

Subject: jambotz8.blogspot.com Body:  
            Best Newcomer Blog,
            Best News Blog,               
            Best General Blog,
Best Educational Blog,
Best Creative Writing Blog
Send your nomination to Tanzanian Blog Awards Emal nomination@bloggersassociationoftanzania.com  or to tanzanianblogawards@gmail.com

·        Please include a genuine email address (spam free), just in case they need to confirm identity the link to your nominations post.
·        Nominations will be accepted from August 17, 2013 at  12:01AM  until to September 2nd, 2013 1:59pm Eat Africa Time 

Tunatanguliza shukrani za dhati kwa wale wote watakaopendekeza na kuipigia kura blog hii ili iweze kushinda katika shindano hili. 
Jambo Tz, Blog Bomba Ya KiTanzania

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI AGOSTI 31, 2013

DSC 0114 8c385
DSC 0115 9c65f
DSC 0116 3ab89

SERIKALI YASALIMU AMRI YA WABUNGE

bunge_802dc.jpg 
Muswada wa Sheria ya Taifa ya Umwagiliaji wa mwaka 2013, jana ulipita kwa mbinde bungeni mjini Dodoma, huku Serikali ikisalimu amri kwa wabunge na kukubali kurekebisha baadhi ya vifungu vyake.Bila kujali tofauti zao za kisiasa, wabunge jana walisimama kidete na kuonyesha uzalendo wa hali ya juu, wakitaka sheria hiyo imlinde mzawa badala ya mwekezaji.

Moto huo wa wabunge uliwalazimisha Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chizza na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Fredrick Werema kusalimu amri na kukubali mapendekezo ya wabunge.

Msimamo wa wabunge hao katika kuibana Serikali, pia ulililazimisha Bunge kutengua kanuni zake na kuendelea na shughuli za kupitia muswada huo hadi saa 7:35 mchana, badala ya kusitishwa saa 7:00 kwa ratiba ya kawaida.
Serikali ilikubali mapendekezo ya wabunge hao na kurekebisha vifungu ambavyo sasa vinampa mmiliki wa ardhi itakayotangazwa eneo la umwagiliaji kuwa mwanahisa na kulipwa fidia.

M23 YATANGAZA KUSITISHA MAPIGANO KURUHUSU UCHUGUZI

m23_2fb74.jpg
Kundi la waasi wa M23 katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo limesema kuwa linasimamisha mapigano mara moja, kuruhusu uchunguzi juu ya makombora yaliyovuka mpaka na kuanguka katika nchi jirani ya Rwanda.

Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Lambert Mende, ameiambia DW mjini Kinshasa kuwa serikali ya nchi hiyo haijashangazwa na hatua hiyo ya M23, lakini akasisitiza kuwa wanachotaka wao ni kuona waasi hao wakiweka silaha chini, kama wanavyotakiwa na jumuiya ya kimataifa na pia serikali ya Kongo.


Jana, Rwanda ililishutumu jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa kile ilichokiita uchokozi wa makusudi, baada ya kombora linaloaminika kutoka upande wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuanguka nchini Rwanda, na kumuuwa mwanamke mmoja na kumjeruhi vibaya mtoto wake mchanga.

UNA UHAKIKA NA MBAVU ZAKO? HEBU ANGALIA VIDEO HIZI UCHEKE PEKE YAKO

Chek nyingine kwa kubofya hapa.............. http://jambotz8.blogspot.com/p/vichekesho_5190.html

ANGALIA ALICHOFANYA NAY WA MITEGO WAKATI CHID BENZ YUPO JUKWAANI


Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...