Saturday, January 16, 2016

UKAWA YASHINDA KITI CHA UMEYA KINONDONI

Diwani wa Kata ya Ubungo kupitia chama cha demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Boniface Jacob ameshinda kiti cha Umeya wa Manispaa ya kinondoni kwa jumla ya kura 38 kati ya 58 zilizo pigwa.

Boniface alikuwa akichuana na mgombea mwenzake ambaye ni mtoto wa kada wa Chama cha Mapinduzi Benjamin Sitta ambaye alikuwa mgombea udiwani katika jimbo la Kawe na hqkufanikiwa kushinda.

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...