Tuesday, February 26, 2013

WAZIRI WA MAMBO YA NJE YA NCHI WA OMAN AKUTANA NA RAIS WA ZANZIBAR


 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akimkabidhi zawadi ya Mlango wa Zanzibar, Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman,Yussuf bin Alawi Bin Abdullah,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na Ujumbe wake leo. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Ujumbe wa Serikali ya Watu wa Oman,ukiongozwa na  Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman,Yussuf bin Alawi Bin Abdullah,(wa pili kulia) alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na Ujumbe wake leo,kwa ajili ya Mazungumzo na Rais. Picha na Ramadhan Othman,IKulu.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...