Wednesday, October 29, 2014

MAGAZETI YA LEO JUMATANO OKTOBA 29, 2014 YA UDAKU, MICHEZO NA HARD NEWS

.
.
.
.
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-Like page yetu ya facebook kwa ku-click/ bofya neno Jambo Tz

BAN KI MOON KUTEMBELEA KAMBI YA DAADAB

Ban Ki Moon
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anatembelea kambi ya wakimbizi ya Daadab, nchini Kenya.
Hii ni mara ya kwanza kwa kingozi huyo mkubwa katika Umoja wa Mataifa kutembelea kambi hiyo kubwa ya wakimbizi.
Ban Ki Moon anatarajiwa kutathmini hali ya msongamano katika kambi hiyo na hali ya usalama ambayo imekuwa ikizorota mara kwa mara.
Aidha ripoti zinasema, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ataidhinisha kuondoka kwa baadhi wa wakimbizi wa kisomali waliojitolea kurudi nyumbani. Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-Like page yetu ya facebook kwa ku-click/ bofya neno Jambo Tz

CHELSEA YAIBUKA KIDEDEA

Didier Drogba
Didier Drogba ameipa ushindi Chelsea wa mabao 2-1 dhidi ya Shrewsbury.
Mchezo huo wa kombe la ligi marufu kama capital one, umechezwa usiku wa kuamkia leo.
Timu kadhaa zilijitupa uwanjani ili kutafuta nafasi ya kuingia robo fainali yaligi hiyo katika ligi hiyo.
Mario Balotelli ametia chachu katika ushindi wa mabao 2-1 iliyoupata Liverpool katik mchezo dhidi ya Swansea City.
Mashabiki wa Fulham nao huenda walilala mapema baada ya kushuhudia timu yao ikipokea kichapo cha magoli 5-2 pale walipoialika Derby.
Bournemouth wakailaza West Brome kwa jumla ya mabao 2-1, huku Sheff Utd ikiibamiza MK Dons kwa ushindi wa mabao 2-1. Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-Like page yetu ya facebook kwa ku-click/ bofya neno Jambo Tz

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...