Sunday, March 24, 2013

MBEYA WABAINI CHANZO CHA WANAFUNZI KUFELI

Na, Modestus Nkulu

OFISA Elimu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Kaponda ametangaza kiama kwa watu wanaomiliki vituo vya kufundishia watoto masomo ya awali baada ya kubaini kuwa ndiyo chanzo cha kuwa na wanafunzi wanaongia darasa la kwanza bila kujua kusoma na kuandika.

Kaponda aliyasema hayo jana wakati wa kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) kilichofanyika kwenye ukumbi wa Mkapa jijini hapa na kuwahusisha watendaji kutoka wilaya zote za Mkoa wa Mbeya kujadili changamoto za maendeleo zinazowakabili wananchi.

Akitoa ufafanuzi, ofisa huyo aliwaambia wajumbe wa kikao hicho kuwa baada ya kubaini hiyo ni moja ya sababu ya kushuka kwa kiwango cha elimu mkoani hapa, ofisi yake imejipanga kuvikagua vituo vyote vya masomo ya awali.

Alisema vituo vingi vya chekechea ndiyo chimbuko la maandalizi mabovu ya wanafunzi wanaoanza darasa la kwanza ambao licha kusoma miaka miwili, wengi wao wamekuwa hawajui kusoma na kuandika hivyo kukosa sifa ya kujiunga darasa la kwanza.
Kaponda alisema hali hiyo imechangia hata wanafunzi wanaojiunga na elimu ya kidato cha kwanza pia baadhi yao kuwa na uwezo mdogo kutokana na msingi mbovu, hivyo kushindwa kusoma na kuandika.
Aidha, ofisa elimu huyo amewatupia lawama wasimamizi wa mitihani kwa kujihusisha na rushwa na kwamba ofisi yake inaendelea kujipanga kukabiliana na changamoto hiyo.
Dk. Michaeli Kadeghe ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, alisema suala la kufeli kwa wanafunzi na baadhi yao kutojua kusoma na kuandika, ni aibu ingawa tayari taarifa zao zinaonesha kuwa wamefaulu mitihani.

Alisema mfumo wa mitaala ya elimu hapa nchini ndilo chimbuko la ubovu huu kwa kuwa haiwezekani wanafunzi wakaendelea kuwa na mfumo wa kuchagua majibu, hivyo ni mambo yanayopaswa kusitishwa haraka.

Mkuu huyo alisema kwa mfumo wa mitaala hiyo, ndiyo inawafanya hata wasiojua kusoma na kuandika kufaulu kwa staili ya kubahatisha katika mitihani yao, hivyo ni wakati mwafaka wa kufanya mabadiliko katika jambo hilo kwa wanafunzi kupimwa uelewa.

Kikao hicho kilichohudhuriwa na watendaji wa serikali kutoka katika wilaya zote za mkoani hapa pamoja na viongozi wa vyama vya siasa na makundi mengine ya kijamii, kilikuwa chini ya Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Normani Sigala kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa, Abasi Kandoro.
Chanzo;Tanzania daima

JACK CHUZI WA BONGO MOVIE AOLEWA BAADA YA KUKUBALI KUBADILI DINI....!!!

 Katika Hali ya Kushtusha na Kufuraisha....Staa wa Bongo Movie Jack Pentezel amewashtusha wengi baada ya Kuamua kubadili dini kuwa Muislamu kisha kuolewa na Mpenzi wake wa Muda Gadner Dibibi....

wadau wengi na wapenzi wa Bongo Movie wamekuwa wakihoji juu ya Ndoa Hiyo iliofungwa kisiri sana na kwa haraka,Je Ndoa Hiyo Itadumu? Je ni kweli wamehamua kukaa kwenye Maadili ya Ndoa..? au Ni kama Mchezo wa Mjini kubadilishana Dini na kuoana mwishowe ni kuachana....Tusubiri Tuone.....

Mpekuzi  inapenda kumtakia Jack Pentezel na Mumewe Gadner Dibibi Baraka Tele,Amani na Upendo utawale kwenye Maisha yao ya Ndoa..





MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AMJULIA HALI MZEE KINGUNGE NYUMBANI KWAKE

1Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, wakati alipofika kumjulia hali nyumbani kwake Victoria jijini Dar es Salaam jana Machi 23, 2013 baada ya mzee Kingunge kulazwa Hospitali ya Muhimbili kwa uangalizi hivi karibuni alipougua ghafla. Picha na OMR2Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, wakati alipofika kumjulia hali nyumbani kwake Victoria jijini Dar es Salaam jana Machi 23, 2013 baada ya mzee Kingunge kulazwa Hospitali ya Muhimbili kwa uangalizi hivi karibuni alipougua ghafla. Kulia ni Mke wa Mzee Kingunge. Picha na OMR3Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, wakati alipofika kumjulia hali nyumbani kwake Victoria jijini Dar es Salaam jana Machi 23, 2013 baada ya mzee Kingunge kulazwa Hospitali ya Muhimbili kwa uangalizi hivi karibuni alipougua ghafla. Picha na OMR

WASICHANA WADOGO NAO WAINGIA KATIKA BIASHARA YA NGONO KWA SH. 5000

Ni usiku wa saa 4 nipo katika eneo maarufu la Buguruni lililopo jijini Dar es Salaam nikiwa nimekaa napata kinywaji kwenye baa moja.

Katika eneo hilo ambalo lipo pembezoni mwa Barabara ya Mandela si tulivu sana kutokana na pilika pilika za magari na watu wanaopita karibu kwa shughuli mbalimbali.
Huku nikiendelea kupata kinywaji mara naona wasichana wadogo wenye umri wa miaka 14 hadi 16 wakizunguka zunguka katika eneo hili la baa.

Awali nilifikiri walikuwa wakitafuta msaada au wakipita kuelekea nyumbani kwao, kwani umri wao haukunipa picha kwamba walikuwa kazini wakati huo wa usiku wa kiza kinene.

Kilichonifanya niwaangalie kwa udadisi zaidi ni kuona jinsi walivyovaa nguo ambazo zilionyesha nusu ya sehemu zao za mapaja, huku kifuani wakiwa wamevaa blauzi zilizobana zikionyesha matiti yao madogo ambayo yanaanza kuchipua.

Kilichonitisha zaidi ni kuona wasichana hawa ambao wakati huo walipaswa kuwa nyumbani wakiwa mkononi wameshika vinywaji vikali aina ya ‘viroba’ na wengine wakivuta sigara.

Hawa ni sehemu ndogo tu ya wasichana wadogo ambao hukesha usiku kucha katika baadhi ya mitaa ya jiji la Dar es Salaam wakitafuta wateja ili wapate fedha za kujikimu.
Mwandishi analazimika kuwadadisi wasichana hawa ili kujua nini kilichosababisha waingie katika biashara hii.

Inavyokuwa
Mwandishi ana mwita mmoja wa wasichana hawa Neema Mashiri (16) (sio jina lake halisi) na kuongea naye katika sehemu tulivu katika baa hiyo huku wakitumia vinywaji kunogesha mazungumzo.
Neema akiwa mwenye kujiamini na kazi yake bila ya kutetereka anasema kazi hiyo aliianza zaidi ya miezi sita nyuma huku akiwa tayari amekutana na idadi ya wanaume ambayo haikumbuki kutokana na wingi wake.
“Kwa siku moja nakutana na wanaume katiya watano hadi saba na hii hutegemea siku na siku, kwani kuna siku huwa na biashara ya kutosha na tunapata fedha za kutosha,”anasema Neema.
Neema akieleza ujira ambao hulipwa anasema ni Sh3,000 hadi Sh5,000 kwa muda usiozidi dakika 30 kwa mwanamume mmoja huku wakati kwa yule anayetaka kulala naye hadi asubuhi hutakiwa kulipa Sh10,000 hadi Sh15,000.
“Baadhi ya wanaume wamekuwa wakitufanyia vitendo vya kikatili kwa kutuingilia kinyume cha maumbile, lakini kutokana na hali ngumu ya maisha hukubali kwani dau huwa kubwa Sh10,000 hadi Sh12,000, lakini wengine hutumia ubabe tu na kututumia bila kutulipa,” anasema Neema na kuongeza;

WANAFUNZI WA CHUO CHA UTUMISHI WAJIPIGA PICHA CHAFU WAKATI WAKIFANYA ZINAA....!!

Wanafunzi  watatu  wa chuo  maarufu  nchini wametia aibu ya mwaka   baada  ya  kunaswa wakivunja  amri ya  sita  huku  wakijipiga  picha  chafu  za  tukio  hilo.....

Kwa mujibu wa ripota wetu, tukio hilo la aibu  linahusisha  wanaume  wawili  na  msichana  mmoja  aliyetambuliwa  kwa  jina  moja  la  Fetty.....

Katika tukio  hilo la aina yake, Fetty  anaonekana  akigawa  penzi  kwa  jamaa    huku  jamaa  mwingine  akiwapiga   picha  hatua  kwa  hatua.....

Kuvuja  kwa  picha:
Picha  hizi  zinadaiwa  kusambaa na kumfikia  mpekuzi wetu  baada  ya  wanafunzi  hao  kutofautina  na  hivyo  kuamua  KUTUBU  DHAMBI  HII  kwa  staili  ya  KUUMBUANA
 

BINTI ABAKWA KIKATILI NA VIJANA WAWILI....


Daily post imepokea   video moja  ya  kusikitisha  sana  ikimuonesha  msichana  mmoja  akibakwa na  wavulana  watatu.....

Katika video hiyo, binti anaoneka  kulia  kwa  huzuni  akiomba  msaada.Bahati  mbaya, shetani  hao  wawili  hawakuwa  na tone la  huruma kwa binti huyo.....
Watu hao  ni wakenya na wanaongea kiyoruba.

Ifuatayo ni sehemu fupi ya video hiyo:

Video inafunguka  kikatili  ikimuonesha  ikimuonesha  binti  akiwa amekabwa  na  anapumua kwa shida...

Binti: Nisaiidiee..( huku nalia)

Mbakaji: Jitahidi usioneshe sura yangu..( alikuwa anamweleza mwenzie aliyekuwa anarekodi)

Anayerekodi: Usijali, siichukui sura yako

Binti: Nimewakosea nini...nakufaaa...!!!

Mbakaji aliendelea  kusisitiza  kuwa  sura yake ifichwe  na  binti  aliendelea  kuomba  msaada bila mafanikio....

Hiyo  ni  picha ya mbakaji kama kuna mtu atafanikiwa kumtambua....
Credit: Dailpost-kenya

SHY - ROSE 'AMVUA NGUO' WAZIRI SITTA

SHY - ROSE
MBUNGE wa Afrika Mashariki Shy-Rose Bhanji amemtaka Waziri wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki (EAC), Samuel Sitta kuacha ubabaishaji kwa kutoa kauli za uongo kwa Watanzania na badala yake aongeze kasi ya uwajibikaji.
Shy-Rose alisema hayo jana akijibu kauli ya Waziri Sitta kwamba baadhi ya wabunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), akiwemo yeye hawahudhurii vikao vinavyoitishwa na wizara hiyo na kwamba wamekuwa wakidai posho.
Akijibu kauli hiyo kwa maneno makali, Shy-Rose alimtaka Waziri Sitta na naibu wake kutoa vielelezo dhidi ya madai yao.
“Kama nilivyosema kwenye kikao cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, wizara imejitenga sana katika kutoa mwongozo na vile vile katika kuwafikia Watanzania walio wengi kwa kigezo kwamba haina fedha.
“Nimekuwa nikiwasiliana moja kwa moja na Naibu Waziri Abdullah Juma Sadallah kuhusu masuala mengi kwa maana ya kushirikiana na kupeana mwongozo, lakini majibu ya Naibu Waziri daima yamekuwa ni ya ubabaishaji na ya kukatisha tamaa, akisema kwamba wabunge wa EALA hawako chini ya wizara,” alisema Shy-Rose.
Mbunge huyo amemtaka Waziri Sitta kukaa na viongozi wa wizara yake ili apate ukweli wa mambo kuliko kurukia kujibu hoja kwa ubabaishaji kwani nia ni kuweka maslahi ya nchi mbele na si binafsi kama alivyofanya juzi yeye na naibu wake kwenye kikao cha kamati.
“Kwa vile amenitaja mimi moja kwa moja kuwa ni kinara wa kutoa udhuru… nasema si kweli hata kidogo… ninamheshimu Waziri Sitta kama kiongozi na kama mzazi wangu, lakini kauli yake imenisikitisha sana sana kwani amenifedhehesha kwenye jamii kwa kutoa kauli za kunichafulia jina langu kwa vile nimesema ukweli.
“Ni Waziri Sitta huyo huyo kwenye kikao cha bajeti mwaka jana bungeni Dodoma nilikuwa miongoni mwa wabunge aliowapongeza kwa kazi nzuri. Leo iweje abadili kauli yake? Au ni kwa vile nimesema ukweli?” anahoji Shy-Rose na kuongeza kuwa penye ukweli hatasita kuwaumbua viongozi ambao hawawajibiki.
Kuhusu suala la posho, alisema walialikwa mara moja tu bungeni lakini waliambiwa kila mtu ajigharamie malazi na usafiri.
“Hivi inaingia akilini kweli ualikwe kwenda safari halafu unaambiwa ujigharamie? Yeye Sitta na Naibu Waziri kwa vile wanatumia magari ya wizara na kuwekewa mafuta na kupewa posho kufika bungeni ndiyo maana inamwia rahisi kuongea kiubabaishaji.
“Licha ya wizara kukataa kutugharimia, lakini nilikuwa miongoni mwa wabunge waliohudhuria kikao cha bajeti ya wizara huko Dodoma… hiki ni kielelezo tosha kabisa suala la posho ni agenda ya uongo ili wizara kujisafisha kwenye kamati na Watanzania kwa ujumla.
“Hivi inaingia akilini kweli eti tunadai posho kuhudhuria vikao vya kupewa mwongozo tena hapa Dar?” anahoji Shy-Rose na kuongeza kuwa suala la posho kwake binafsi halijawahi kuwa agenda kuu hata siku moja.
“Hii hoja ya posho si ya kweli hata kidogo, kilichoongelewa ni vipi tunafika Dodoma iwapo hatujui tutalala wapi na tutakula nini. Sijaomba gharama hizi kama Shy-Rose bali kama Katibu wa Wabunge wa EALA,” aliongeza.
Shy-Rose alisema ni jambo la kusikitisha kwamba Watanzania walio wengi hawaifahamu Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa upana wake, hivyo juhudi za ziada zinahitajika kwa wizara kushirikiana na wabunge wa EALA ili kuwafikia Watanzania wengi kufahamu mtengamano huu.
Mbunge huyo alisema semina pekee iliyowahi kufanyika kwa wabunge wa EALA ilikuwa mara baada ya kuchaguliwa takriban miezi kumi iliyopita.
Katika semina hiyo iliyoandaliwa na Ofisi ya Bunge kwa kushirikiana na wizara, waliambiwa wizara itakuwa inatoa mwongozo kabla ya vikao vya Bunge kuanza ili kuweka maslahi ya taifa mbele na baada ya hapo hawajawahi kuitwa tena na wizara hiyo.
Kwa mujibu wa Shy-Rose, kikao pekee kilichoitishwa na wizara ni Januari mwaka huu jijini Bujumbura wakati ambapo mbunge huyo alikuwa nchini India kwa matibabu.
Juzi wakati Waziri Sitta akitoa ufafanuzi katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Waziri Sitta alisema madai ya wabunge wa jumuiya hiyo kwamba hawashirikishwi katika vikao vya wizara yake sio ya kweli kwani wengi ni mabingwa wa kutoa udhuru na wanataka posho.
TANZANIA DAIMA

PAPA FRANCIS I AMTEMBELEA PAPA MSTAAFU BENEDICT

Walisali pamoja
walipokeana kwa bashasha
wakazungumza kwa nafasi baada ya chakula

WAZIRI SITTA AWAANIKA WABUNGE WA AFRIKA MASHARIKI KUHUSU POSHO

              Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta 
Na: Beatrice Moses
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta amewajibu wabunge wa Afrika Mashariki akisema wengi hawahudhurii vikao vya kupewa mwongozo kuhusu bunge hilo kwa kuwa “wanataka kulipwa posho”. Kauli hiyo ya Sitta ambaye pia ni Mbunge wa Urambo Mashariki, imekuja siku moja tangu wabunge hao waichongee wizara hiyo kwa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, kwamba imeshindwa kuwapa mwongozo pale wanapokwenda kwenye vikao vya Bunge la Afrika Mashariki. Akizungumza katika kikao cha kamati hiyo jana, Sitta alisema wabunge hao wamekuwa vinara wa kuomba posho kila
wanapotakiwa kuhudhuria kwenye mikutano ya wizara yake.
Katika maelezo yake Sitta alimeshutumu Katibu wa Wabunge hao, Shyrose Bhanji kuwa ndiye anayeongoza kwa kutoa udhuru mara kadhaa, hivyo kutoudhuria vikao vinavyoitishwa na wizara hiyo.
“ Wizara imejiwekea utaratibu mzuri wa kukutana na wabunge hao, lakini nafikiri katibu wao ndiye anayeongoza kwa kutohudhuria,” alisema Sitta na kuongeza:

CHECK OUT PICHA ZA HARUSI YA 2 FACE IDIBIA TAZAMA ILIVYOKUWA.



Celebrity Guests


Ini Edo, Kate Henshaw & Mike Ezuruonye





Tunde Demuren & Banky W



Tunde Demuren, Ubi Franklin & Banky W

photophotophotophoto
photo

photo

photo

photo

photo

photo

photo
photo

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...