Sunday, December 29, 2013

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI DESEMBA 29, 2013 YA MICHEZO NA HARD NEWS

.
.
Tafadhari Like page yetu click Jambo Tz

MENEJA WA WEMA SEPETU AHUSISHWA KWENYE UJUMBE WA JACKIE CLIEF ALIOUTUMA MASAA MACHACHE KABLA YA KUNASWA NA MADAWA YA KULEVYA

Yaelekea mwanadada Jackie alikuwa amejipanga kisawa sawa na alijitoa muhanga na kujua lolote lingeweza kumpata kutokana na kazi aliyo kuwa akifanya ya kubeba sembe. 
Jackie alijipanga na  kuamua kumuachia rafiki yake kipenzi Martin Kadinda maagizo na wosia wake just incase ikatokea akafariki. Jackie aliweza kuandika ujumbe huo kwenye status yake ya BBM kama inavyo onekana hapa chini.
Tafadhari Like page yetu click Jambo Tz

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...