Saturday, September 21, 2013

PENNY......."DIAMOND AKISAFIRI HUWA NAPATA HOMA KABISA"

Penny au sukari ya Diamond
Yule mwanadada anayewapandisha presha wadada wa mujini Penny mungilwa ama ukipenda muite sukari ya Diamond amechonga na thesuperstarstz nakueleza mengi kuhusu sukari wake huyo ambaye kwa sasa yupo nchini malaysia katika bonge la show.

Penny ambaye pia ni mtangazaji wa Tv hapa nchini tanzania amesema kwake hakuna wakati mgumu anaoupata kama Diamond akisafiri penny aliielezea thesupestarstz kuwa anaumia sana kumkosa sukari wake huyo na mara nyingi hujikuta akiugua kabisa kama diamond akimtajia safari.

Penny ameyasema hayo wakati diamond akiwa nchini malaysia kikazi alikokwenda kupiga bonge la show nchini humo na kumuacha penny ndani ya bongo....Kiukweli hakuna wakati mgumu na huwa naumwa kama diamond akisafiri yaani huwez  amini nimemzoea sana bby wangu jamani alisema penny

BAADA YA KUIBA SIMU, IKIPINGWA SIMU YAITA TUMBONI NA BAADA YA DAKIKA 10


Kijana mmoja mkazi wa kitongoji cha DDC Mji mdogo wa Mbalizi wilaya ya Mbeya, Mkoani Mbeya Bwana GOODSON MWASYOGE amejikuta yupo katika wakati mgumu baada ya kuiba simu ya mfanyabiashara eneo hilo baada ya wiki moja simu hiyo imekuwa ikilia tumboni baada ya kupigwa huchukua kama dakika kumi na tumbo lake kuvimba.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Mtaa Bwana ASIFIWE MWAKALONGE amethibitisha kwa tukio hilo akiwa sambamba na mjumbe Bwana MOHAMMED SAID.


Wakati huo huo Kaka wa muhanga wa tukio hili Bwana DANIEL MWASYOGE akiwa na Mama mzazi Bi CHRISTINA MWAKALONGE amemtaka aliyeibiwa simu kumsamehe kijana wao kwa kosa alilolifanya naye amekiri kutenda tukio hilo na anaomba msamaha kuwa abilisi alimpitia tuu hakuwa na tabia ya wizi na baadhi ra wananchi wa mtaa huo wanashangaa.
 

MBEYA CITY FC YAITULIZA SIMBA KWA SARE YA MAGOLI 2 - 2

 KIPINDI CHA PILI KIKIWA KINAENDELEA
 MASHABIKI WAKIWA WANAFUATILIA MECHI KWA UKARIBU 

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI SEPTEMBA 21, 2013

DSC 0014 e5b03
DSC 0015 f1b92

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...