Msanii mkongwe kwa miondoko ya dansi nchini, ambaye aliwahi kuwa katika bendi ya FM na baadae kuanzisha yake iliyofahamika kwa jina la Stono Musica au jina linguine Wajela Jela, Ndanda Kosovo amefariki dunia. Like page yetu ya facebook Jambo Tz. tu-follow instagram @jambotz

Katika taarifa ambayo imetufikia imeeleza kuwa marehemu amefariki jana asubuhi katika hospitali ya taifa ya Muhimbili alipokuwa amelazwa alipokuwa amelazwa akisumbuliwa na vidonda vya tumbo. Mungu ailaze roho ya marehemu peponi, Amin.