Sunday, April 10, 2016

YANGA YATOKA SARE NA AL AHLY

Mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, hatua ya 16 kati ya wawakilishi pekee wa Tanzania katika mashindano hayo, Yanga ya Tanzania na wageni Al Ahly ya Misri umemalizika katika uwanja wa taifa kwa timu hizo kutoka sare ya goli moja kwa moja.  
Katika mchezo huo, Al Ahly ilikuwa ya kwanza kupata goli kupitia kwa mchezaji wake Amr Gamal na dakika chache baadae Yanga kusawazisha baada ya mchezaji wa Al Ahly, Ahmed Hegazy kujifunga dakika ya 16 ya mchezo huo ambapo mpaka mchezo unamalizika, Yanga 1 na Al Ahly 1

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...