Monday, March 25, 2013

MJUE MWANAMUZIKI ALIYEMTOA KAFARA RAFIKI YAKE ILI APATE UMAARUFU


Baada ya kuvuta bangi, mwanamuziki mmoja nchini marekani (RAPER) anayefahamika kwa jila EL-ARMIN amtoa kafara rafiki yake ili kupata umaarufu, raper huyo aliamini akimuua rafiki yake atapata umaarufu nchini marekani na kupaa kama wasanii maarufu nchini humo. vyombo vya habari nchini marekani vimeripoti kwamba El-armin aliamini kwamba kutoa kafara ni ishara ya mafanikio,

Kabla ya kumuua rafiki yake huyo aliwekea risasi kichwani kwa rafiki yake na kusema  "wewe ni kafara yangu" rafiki yake huyo alizuia pisto  na alijua ni utani. baada ya dakika chache El-armin alimshoot rafiki yake tumboni na rafiki huyo kufa papohapo.

Ndoto zake hatimaye zimepote na amefungwa kifungo cha muda mrefu, masupastaa wakubwa kama 50cent, beyonce, lady gaga,kanye west je huwa wanafanya hivyo?

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...