Wednesday, May 29, 2013

SIRI YA MAFANIKIO YA MUONEKANO MPYA WA VICENT KIGOSI

Kwa Kipindi kirefu amekuwa akionekana kuwa mwenye mwili nadhifu na
mengine yakizushwa
kwa kila aina ya usemi....Lakini Blog yako ya This is Diamond imeweza
Kujua Lililo nyuma ya pazia...
The Prezdah wa Bongo Movie Vicent Kigosi almaarfu kama
Ray the Greatest, ameamua kueka kando mambo yote ya starehe
na hivi sasa yuko gym kutengeneza
 mwili wake na Afya kwa ujumla ili kulitumikia vyema Taifa lake la
 Tanzania kupitia tasnia ya Film..

Zifuatazo ni Picha kadhaa tu Star Huyo wa BongoMovie akiwa
Gym akitengeneza mwili kiujumla...


Hakika Ray the Greatest  Huu ni mfano wa kuigwa kwa wewe
 mwananchi kwa kufanya mazoezi
kutengeneza afya yako kwa ujumla......

This is Diamond inakutakia Baraka tele na Amani katika kazi
 yako ya sanaa na mipango
Lukuki kwenye jamii....

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...