Rais Dkt.Jakaya Mrisho
Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete wakimjulia hali Mzee Kingunge
Ngombale Mwiru aliyepumzishwa katika chumba cha Dharura katika hospitali
ya Taifa ya Muhimbili leo.Mzee Kingunge alikimbizwa Hospitalini Hapo
Baada ya Kujisikia Vibaya.jopo la Madaktari Bingwa linamfanyia uchunguzi
Mzee Kingunga ili kubaini ugonjwa unaomsumbua.Aliyesimama Nyuma ya Rais
ni mke wa Mzee Kingunge na kushoto ni Mtoto wa Mzee Kingunge Bwana
Kinjekitile(picha na freddy Maro)Friday, March 22, 2013
JK: Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Hospitali ya Taifa Muhimbili
Rais Dkt.Jakaya Mrisho
Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete wakimjulia hali Mzee Kingunge
Ngombale Mwiru aliyepumzishwa katika chumba cha Dharura katika hospitali
ya Taifa ya Muhimbili leo.Mzee Kingunge alikimbizwa Hospitalini Hapo
Baada ya Kujisikia Vibaya.jopo la Madaktari Bingwa linamfanyia uchunguzi
Mzee Kingunga ili kubaini ugonjwa unaomsumbua.Aliyesimama Nyuma ya Rais
ni mke wa Mzee Kingunge na kushoto ni Mtoto wa Mzee Kingunge Bwana
Kinjekitile(picha na freddy Maro)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment