Friday, March 22, 2013

Mahakama ya Zimbabwe yaweka ngumu kumuachia mwanasheria Mtetwa kwa dhamana.

Mahakama nchini Zimbabwe imekataa kumuachia kwa dhamana mwanasheria anayetetea haki za binadamu Beatrice Mtetwa na wasaidizi wanne wa Waziri Mkuu Bw. Morgan Tsvangirai.
Mwanasheria huyo Mtetwa alikamatwa Jumapili iliyopita akishutumiwa kuzuia mkondo wa sheria kufanya kazi yake na atabakia kizuizini hadi tarehe 3 mwezi Aprili mwaka huu.
Wasaidizi wane wa Bw. Morgan Tsvangirai wanashikiliwa kwa kutuhumiwa kujifanya maaafisa wa polisi, lakini wamekana tuhuma hizo.-DW.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...