Saturday, March 09, 2013

ODINGA: KAMWE HATUWEZI YATAMBUA MATOKEO YA URAIS KENYA

Aliyekuwa Mgombea Urais nchini Kenya kwa tiketi ya ODM, Raila Odinga na Waziri Mkuu wa Zamani wa Serikali ya Mwai Kibaki amesema hayatambui matokeo na Ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta.

Odinga amesema hayo wakati akizungumza na wanahabari na halaiki na kushusha lawama zake kwa tume Huru ya uchaguzi ya IEBC kuwa imerudia madudu ya mwaka 2007 ambayo yaliingiza nchi katika vurugu kubwa.

“Kamwe hatuwezi kuyatambua matokeo hayo yaliyotangazwa hivi punde, hivyo tumeamua kwenda Mahakamani kudai haki ya wakenya Walio wengi kisheria”.

1 comment:

Unknown said...

Hujambo
Mimi ni vivian Regobert
ni kuweka maoni hii kwa wale ambao VVU na wanahitaji tiba
Tiba ya Dk Muli Jonathan Herbal ni 100% kuhakikisha uhakika wa tiba ya VVU.
Yeye kutibu aina yoyote ya ugonjwa.
MUME wangu na alikuwa VVU kwa zaidi ya mwaka 9.
Nilikuwa mgonjwa sana na mzigo wangu virusi alikuwa > 225,000 wa nakala/ml
Niliona post kuhusu Dr Muli Jonathan mtandaoni jinsi ina kutibiwa watu wengi na jinsi sana yeye imesaidia watu wengi mtandaoni
hivyo kuwasiliana naye na alielezea hali yangu kwake
Aliahidi Nitumie dawa zake za mitishamba na baada ya 4days nilipokea dawa ya mitishamba
MUME wangu na kutumika kwa dawa za mitishamba kwa ajili ya 10days na kisha akaenda kwa ajili ya mtihani upya
Na sasa sisi ni HASI VVU
Asante Dr Muli Jonathan kwa ajili ya kurejesha amani kwa familia yangu
Mimi nina kushiriki ushuhuda huu kwa sababu niliahidi Dr Muli Jonathan kwamba mimi watakishuhudia baada ya mimi kuwa wamekuwa na kutibiwa.
Inaweza kufikia Dr Muli Jonathan kupitia:
mulijonathanherbal@Gmail.com
Simu/Whatsapp: +2349038544302

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...