Saturday, March 09, 2013

MAKAMPUNI YA SIMU YAUNGANA KUTOA HUDUMA YA MAWASILIANO KWA WOTE


Wawakilishi mbalimbali wa makampuni ya simu wakitiliana saini ya makubaliano ya kuendesha Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote kulia ni Mkuu wa kitengo cha uhimalishaji mitandao wa Voda Com Eng,Nguvu Kamando anaefuata ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania TTCL Bw, Kamugisha Kazaura na wengine wanaoshudia makubaliano hayo nyuma kushoto ni Waziri wa Mawasiliano,Sayansi na Tekinolojia Profesa Makame Mbawara 


WAWAKILISHI WA MITANDAO

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...