Saturday, March 09, 2013

WATU WATATU WAMEFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA KUMTUSI SPIKA WA BUNGE



Watu watatu wamefikishwa mahakamani katika mikoa ya Kilimanjaro, Dodoma na Mkoa mpya wa Simiyu kwa tuhuma za kutumia lugha za matusi na uchochezi dhidi ya Spika wa Bunge la Jamhuri yak Muungano wa Tanzania.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...