Saturday, March 09, 2013

RAIS DK SHEIN AHUDHURIA MAULIDI YA MTUME, TEMEKE JIJINI DAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ALhaj Dk.Ali
Mohamed Shein,akisalimiana na Sheikh Alhad Mussa Salum,alipowasili
katika msikiti Masjid majmuatil Islamia,wa Temeke mwisho kuhudhuria
katika maulid ya Mtume Muhamad SAW.
Sheikh,Dk.Usama Mohammed Esmail,kutoka nchini Misri akitoa mawaidha wakati wa Maulid ya Mtume Muhammad SAW,yaliyofanyika jana katika Msikiti Masjid Majmuatil Islamia,wa Temeke mwisho,yaliyohudhuriwa na Viongozi wa Dini mbali mbali,na mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein.
Sheikh Alhad Mussa Salum,wa Mkoa wa Dar es
Salaam,akiwatambulisha wageni mbali mbali waliohudhuria katika Maulid
ya Mtume S.A.W. yaliyohudhuriwa na maelfu ya waumini wa Jiji la Dar
es Salaam,katika Msikiti Masjid Majmuatil Islamia,wa Temeke mwisho.
Sheikh Alhad Mussa Salum,wa Mkoa wa Dar es
Salaam,akiwatambulisha wageni mbali mbali waliohudhuria katika Maulid
ya Mtume S.A.W. yaliyohudhuriwa na maelfu ya waumini wa Jiji la Dar
es Salaam,katika Msikiti Masjid Majmuatil Islamia,wa Temeke mwisho.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,(wa pili kulia) akiwaongoza Viongozi mbali
mbali wa Dini na Serikali katika Maulid ya Mtume Muhammad S.A.W
yaliyofanyika jana katika Msikiti Masjid Majmuatil Islamia,wa Temeke
mwisho.
Wanamadrasatul Az-har ya Koma Kisiwani Dar es Salaam,wakisoma Qaswida Ya swalatu Alan Nabii,katika Maulid ya Kumswalia Mtume Muhammad SAW,yaliyofanyika jana katika Msikiti Masjid Majmuatil Islamia,wa Temeke mwisho.
Baadhi ya waumini wa Dini ya Kiislamu wa Jijini Dar es Salaam,waliohudhuria katika Maulid ya Kumswalia Mtume Muhammad SAW,yaliyofanyika jana katika Kumswalia Mtume Muhammad
SAW,yaliyofanyika jana katika Msikiti Masjid Majmuatil Islamia,wa
Temeke mwisho.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...