Saturday, March 09, 2013

UHURU KENYATTA AIBUKA MSHINDI WA KITI CHA URAIS NCHINI KENYA


Mchuano  ulikuwa  mkali  kweli  kweli, lakini  hatimaye  Uhuru Kenyatta ameibuka  mshindi wa  kinyang'anyiri  hicho  kwa  asilimia  50.3  ya  kura  zote  zilizopigwa  huku  Raila Odinga  akijipatia  asilimia 43.28  ya  kura zote

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...