Saturday, March 09, 2013

MBUNGE WA CHADEMA KORTINI


MBUNGE wa Ukerewe, Salvatory Machemli (CHADEMA) amefikishwa mahakamani akikabiliwa na mashitaka ya uchochezi. 
Machemli (39) amesomewa mashitaka hayo jana mbele ya 
hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya wilaya, Rouben Luhasha akidaiwa kutenda kosa hilo mwaka mmoja na nusu uliopita. 

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...