Friday, June 07, 2013

TANGAZO KWA WAKAZI WA MBEYA

Nafasi za Kazi na Mafunzo

SIFA:


>>> Elimu ya kidato cha nne au zaidi.
>>> Taaluma ya uandishi wa habari ni added advantage.
>>> Uwezo, ufahamu, utundu, uzoefu, na ujuzi katika matumizi ya "Mitandao ya Kijamii" ndio kigezo kikuu.
>>> Umri miaka 18 na kuendelea.
>>> Uchapakazi, kujituma, creativity na ubunifu katika masuala ya mitandao ya kijamii ni vigezo muhimu.
>>> Awe mkazi wa Mbeya Mjini.


NAFASI ZILIZOPO NI NNE KAMA VIGEZO VITAKIDHIWA.

FIKISHA MAOMBI YA KAZI OFISI YA JIGAMBE (MbeyaCity.com) ILIYOPO KATIKA YA SAE NA ILOMBA OPPOSITE/MKABALA NA MASHOKO BAR.

1 comment:

Anonymous said...

tangazo halijitoshelezei

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...