Akifungisha
Ndoa Hiyo Askofu wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Kusini Njombe Isaya
Mengele Amekumbusha Maneno ya Mungu na Kuwataka Wanandoa Kuishi Kwa
Misingi ya Dini Kama Ilivyoelekezwa Kwenye Vitabu Vya Dini.
Kulia ni mkuu wa wilaya ya Njombe Bi.Sarah Dumba akiwa na waziri mkuu Mizengo pinda katikati akifuatiwa na Katibu mkuu wa CCM.
Kushoto
ni msemaji wa familia ya mzee Philip Mangula Dr.Lechion Kimilike
ambaye ni Mhadhiri wa chuo kikuu huria cha Tanzania Tawi la
Njombe[NJOMBE OPEN UNIVERSITY].
































Uchunguzi umebaini kuwa, wake wa waheshimiwa hao walipata
mshtuko mkubwa hivi karibuni kufuatia taarifa ya kukamatwa kwa
machangudoa hao, Esperance Hagenimana (28), Vestina Zaninika (27) na
Ziada Mukamurera (25) huku wawili kati yao wakikutwa na dawa za
kupunguza makali ya Virusi Vya Ukimwi (ARVs).








