Friday, April 05, 2013

CHEK LIST YA WASANII WATAKAO PERFORM SHEREHE ZA KUAPISHWA RAISI UHURU KENYATA

Jana nilitoa baadhi ya majina ya wasanii waliotajwa kuperfom kwenye sherehe za kuapishwa kwa Raisi mpya wa Kenya , Kenyata, leo hii nimepokea list kamili ya wasanii watakaoshiriki na safari hii Jaguar hakuachwa nyuma.
 
List hiyo ni Daddy Owen, Jaguar, Emmy Kosgey, Rufftone, Ringtone, Abass, V6, Sauti Sol, Sarakasi Dancers, Madtraxx, ambao watu wengi walikuwa wakitegemea kuona list ya majina haya.

 
wengine ni pamoja na Elsie na Visita, walioimba wimbo wa jubilee, pamoja na Ally B, Gkon na  Kavi Pratt.its more about music industry and social issues in and out of bongo land

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...