Monday, February 11, 2013

Taswira za maandamano ya Chadema jana




 Picha Juu Mamia ya wakazi wa Dar es salaam walijitokeza kuunga mkono maandamano yaliyoandaliwa na chadema kupinga Uonevu wanaofanyiwa wabunge wa Upinzani Bungeni.
 Viongozi wa chadema wakiwa katika mshikamano mkubwa, wakiandamana kupinga vitendo vya uonevu vinavyofanywa na Spika na Naibu wake dhidi ya wabunge wa Upinzani.
 Katibu mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa akiwa jukwaani katika mkutano wa kulaani vitendo vya uonevu kwa wapinzani. Mkutano uliofanyika katika kiwanja cha mwembeyanga Temeke leo.
 Mbunge wa singida Magharibi-Chadema na Mnadhimu mkuu wa kambi ya Upinzani Bungeni, Tundu Lissu akiongea kwenye mkutano uliofanyika Viwanja vya Mwembeyanga
 Mbunge wa Jimbo la Ubungo-Chadema,John Mnyika akiongea katika mkutano.
 Mbunge wa Arusha Mjini-Chadema,Godbless Lema naye akimwaga cheche jukwaani.
 Mbunge wa iringa Mjini-Chadema, Pter Msigwa akiunguruma
 
 Mbunge wa Kawe-Chadema,Halima  Mdee amesema tukianza 2014 itakula kwetu, tuanze sasa.
 Katibu mkuu wa AFP amesema chama chao kinaunga mkono chama makini kama Chadema
 Viongozi wa Chadema wakiwa Meza kuu kutoka kushoto katibu mkuu Dr Wilbroad Slaa, Mwenyekiti Mh Freeman Mbowe na naibu katibu mkuu Mh Zitto Kabwe.Picha Zote na CHADEMA

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...