Monday, February 11, 2013

Sokoni kwetu hapaaaa!!!

   
Hili ni soko la lililopo eneo la Ilomba jijini Mbeya, na izo ndizo ofisi za soko hilo ambapo camera yetu ilikuta mbwa zikiwa nje ya ofisi hiyo na haijulikani zipo hapo kwa lengo gani. ( Picha na Keny Pino)

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...