Monday, February 11, 2013

Mh.Lowassa ahudhuria mazishi ya mama yake Dr Kimei

msiba1 a23b2
Mawaziri wakuu wastaafu Mh Edward Lowassa na Mh Fredrick Sumaye wakijumuka na viongozi wengine katika msiba wa mama yake mkurugenzi mtendaji mkuu wa CRDB, Dr Kimei mwishoni mwa wiki huko Komakundi Marangu Mkoani Kilimanjaro.
msiba2 b42ff
Mh Lowassa akitia saini kitabu cha maomolezi ya kifo cha bibi Eliangichopasia, ambaye ni mama yake mkurugenzi mtendaji wa CRDB Dr Kimei.bibi huyo alifariki wakiwa na umri wa miaka 97.

msiba3 7034b
Mh Lowassa akiwapa pole Dr Kimei(katikati) na dada yake
msiba 
6634d

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...