Saturday, February 16, 2013

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI



JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA
15 Februari 2013


 
Meli vita tatu (3) kutoka Jeshi la Wanamaji la Urusi zijulikanazo “MARSHAL SHAPOSHNIKOV”, “ALATAU” na “IRKUT” zikiongozwa na Rear Admiral Vladimir Vdovenko, watawasili nchini tarehe 16 February 2013 na kuondoka tarehe 20 Februari 2013 katika bandari ya Dar es Salaam kwa lengo la kufanya ziara ya kirafiki baina ya Jeshi la Wanamaji wa Tanzania na Urusi.
Waandishi wa Habari mnakaribishwa kufanya ‘coverage’ ya tukio hilo
Siku ya Jumatatu, tarehe 18 February 2013 saa 1.00 hadi saa 3.00 usiku.
Imetolewa na Kurugenzi ya Habari na Uhusiano, Makao Makuu ya Jeshi, Upanga
SLP 9203, Simu: 0764 742161
Email: ulinzimagazine@yahoo.co.uk
K U M B U K U M B U
MMJ/JB/
Feb 13
DP ADMN
Kufanya mahusiano na uongozi wa Bandari
1. Kurugenzi ya Habari imefanya zoezi la kuwaita waandishi wa Habari kutoka vyombo vya habari vifuatavyo TBC, ITV, CLOUDS TV, MLIMANI TV, STAR TV, na CHANEL TEN.
2. Uongozi wa Bandari hauruhusu Waandishi wa Habari kuingia kufanya “coverage” kwenye eneo hilo bila taarifa rasmi.
3. Inaombwa mahusiano yafanyike na bandari kuhusiana na mapokezi ya waandishi wa habari watakao hudhuria siku hiyo ili kukwepa usumbufu kwa waandishi hao.

 
(KM Mgawe)
Col
DIPR

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...