Saturday, February 16, 2013

Watanzania tunaitakia kila la kheri Azam FC katika mechi yake ya leo dhidi ya Al Nasir Juba ya Sudan Kusini.


Mashabiki wa soka nchini Tanzania leo wataelekeza macho na masikio yao katika uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam kushudia mechi ya kiataifa baina ya timu ya Azam Fc ikipambana na Al Nasir Juba  ya Sudan Kusini   
Mabingwa hao mara mbili wa Kombe la Mapinduzi Zanzibar Azam Fc leo watakuwa wakicheza kwa mara ya kwanza michuano inayoandaliwa na Shirikisho la Soka la Africa (CAF).
Katika mechi ya leo Azam itaingia uwanjani kwa lengo la kupata ushindi mkubwa ili kujiweka mazingira mazuri katika mchezo wa marudiano utakaofanyika Juba.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...