Thursday, April 19, 2018

PICHA ZA HARUSI YA ALIKIBA ILIYOFANYIKA MOMBASA



 Baada ya ukimya na usiri wa muda mrefu kuhusu mahusiano yake ya kimapenzi hatimae leo April 19, 2018 Ali kiba amefunga ndoa katika msikiti wa Ummul Kulthum Mombasa nchini Kenya akiwa ameozeshwa na sheikh Mohammed Kagera.


Alikiba  amemuoa Amina Khalef Ahmed mkazi wa Mombasa ambapo ndipo sherehe za harusi hiyo zinafanyika hii leo huku sherehe nyingine kubwa ikitarajiwa kufanyika April 29, 2018 jijini Dar es Salaam.





Like ukurasa wetu wa Facebook wa Jambo Tz

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...