Mkuu
wa Wilaya ya Buhigwe Mh. Charles Bishuli akihutubia wananchi wa wilaya
ya Kasulu kwenye sherehe za uzinduzi wa minara. Kulia kwake Meneja wa
Kanda ya ziwa Bw Joseph Mutalemwa na Meneja wa Tigo wa mkoa wa Kigoma
Bw Gamu Kimoro.
Mkuu
wa Wilaya ya Buhigwe Mh. Charles Bishuli akitaka utepe kuzindua mnara
ya TIGO katika kata ya Muyama wilayani Buhigwe. Kulia kwake Meneja wa
kanda ya ziwa Bw. Joseph Mutalemwa.