
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri
Mkuu (Tamisemi), Kassim Majaliwa alisema kati ya waliochaguliwa wavulana
ni 31,352 na wasichana ni 22, 733.PICHA|MAKTABA
Robo tatu ya
wanafunzi waliofaulu kidato cha nne kwa kupata daraja la kwanza hadi la
tatu (Division I – III), wamechaguliwa kujiunga na kidato cha tano. Idadi hiyo ya wanafunzi watakaojiunga katika shule
za Serikali mwaka huu, imeongezeka kutoka 33,683 mwaka jana hadi
kufikia 54, 085 sawa na asilimia 75.6 ya wanafunzi 71,527 wenye sifa ya
kujiunga na kidato cha tano Tanzania Bara.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Naibu
Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi), Kassim Majaliwa alisema kati ya
waliochaguliwa wavulana ni 31,352 na wasichana ni 22, 733.
“Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha
tano 2014 ni kutoka shule za Serikali na zisizo za Serikali.
Kati yao wavulana 14, 826 sawa na asilimia 27.41 wamechaguliwa kusoma masomo ya sayansi na wengine 16, 526 sawa na asilimia 30.5 wamechaguliwa kusoma masomo ya sayansi ya jamii,” alisema. Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-Like page yetu ya facebook kwa ku-click/ bofya neno Jambo Tz
Kati yao wavulana 14, 826 sawa na asilimia 27.41 wamechaguliwa kusoma masomo ya sayansi na wengine 16, 526 sawa na asilimia 30.5 wamechaguliwa kusoma masomo ya sayansi ya jamii,” alisema. Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-Like page yetu ya facebook kwa ku-click/ bofya neno Jambo Tz














Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisistiza jambo wakati akizungumza na msanii
wa kizazi kipya Nasib Abdul “Diamond” ikulu ndogo mjini Dodoma wakati
chakula cha usiku alichowaandalia wasanii walioshiriki katika tamasha la
Uzalendo na Uzinduzi wa Video ya wimbo maalum wa miaka 50 ya Muungano
wa Tanganyika na Zanzibar lililofanyika katika uwanja wa michezo wa
Jamhuri mjini Dodoma jumamosi.Kulia ni mbunge wa Chalinze Mh. Ridhiwani
Kikwete.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na msanii wa kizazi kipya 





