Wednesday, June 18, 2014

DAKIKA 90 ZA MECHI ZA KOMBE LA DUNIA ZA JUNI 17

Kwenye mechi zilizochezwa usiku wa June 17 2014 matokeo yake ni Russia 1 (Kerzhakov 74′ ) – 1 Korea Republic goli lao lilifungwa na K Lee kwenye dakika ya 68.
Game nyingine ilikua ya Brazil vs Mexico iliyoisha kwa 0-0 huku ile ya nyingine ya mwanzo ikiwa ni Belgium 2 ( Fellaini 70′ + Mertens 80′) – 1 Algeria (Feghouli aliefunga kwa penati dakika ya 25 ) Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-Like page yetu ya facebook kwa ku-click/ bofya neno Jambo Tz

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...