Wednesday, June 11, 2014

ANGALIA PICHA ZA GARI MPYA LA NAY WA MITEGO, NI BALAA...!!!

IMG_0514 
Wasanii mbalimbali wamekua wakionyesha magari ambayo mengi yamekua ya kifahari ambapo kwa mwaka 2014 ni mwaka unaonyesha wasanii wengi kumiliki magari ya gharama zaidi,mpaka sasa ni zaidi ya wasanii watano ambao wameonyesha magari yao ya kifahari.
Star wa single mbalimbali ikiwemo Nakula Ujana Ney wa Mitego nae yupo kwenye list ya wasanii wanaomiliki magari haya ya thamani hii ya Ney wa Mitego ni Nissan Morano ya mwaka 2007 na hii inakamilisha gari la pili kwenye kipindi kifupi baada ya ya ile Toyota Mark X.
Kwa maelezo ya Ney ingawa hakutaka kutaja bei kamili aliyonunulia lakini kasema ni zaidi ya Milioni 35,ambayo ameitoa kama zawadi kwa ajili yake siku ya kuzaliwa kwake ambayo ilikua ni 9 June 2014.
IMG_0539
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-Like page yetu ya facebook kwa ku-click/ bofya neno Jambo Tz
IMG_0521
IMG_0520 
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-Like page yetu ya facebook kwa ku-click/ bofya neno Jambo Tz
IMG_0510
IMG_0515
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-Like page yetu ya facebook kwa ku-click/ bofya neno Jambo Tz

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...