![]() |
“Mashabiki wa Clouds TV watapata kuona vita ya kibiashara, Uwoya atakuwa akionekana katika kipindi hicho ambacho kitakuwa kinahusu upakaji rangi katika nyumba za watu mbalimbali huku Wema naye akikimbiza katika In My Shoes,” alisema Ruge.
![]() |
Kama kawaida rafiki wa nyavu: Drogba alifumania nyavu mara mbili na kutwaa taji la kombe la Emirates
Drogba akimpeleka sokoni kipa wa Arsenal, Wojciech Szczesny
Mnanikumbuka? Drogba akishangilia baada ya kipenga cha mwisho cha mwamuzi
Ufunguzi wa karamu ya mabao: Walcott akiandika bao la kuongoza kwa klabu yake ya Arsenal




![]() |
| Rais
Jakaya Kikwete akimpongeza kijana wa Kitanzania Hamisi Mohamed mwenye
umri wa miaka 14 aliyeipatia sifa Tanzania kwa kunyakua ubingwa wa
Dunia wa mchezo wa kuruka kamba kwenye michuano iliyofanyika huko
Orlando, Marekani, mwezi uliopita. Kijana huyo, ambaye awali
alilelewa katika kituo cha watoto yatima cha Dogo Dogo Dar es Salaam,
alianza kupata mafunzo ya mchezo huo ambapo alishiriki mashindano ya
Afrika Mashiriki yaliyofanyika Mombasa na kunyakua Medali ya Dhahabu.
Kulia ni mfadhili wa kijana huyo, Amy Canady, na kushoto kwa Rais
Kikwete ni Sister Jean Pruitt, mwanzilishi wa kituo cha kule yatima cha
Dogodogo Centre |




Wazee kwenye mkutano wa CCM, Uwanjwa wa Community Cetre Mwanga hivi karibuni mkoani Kigoma.
Katibu
wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye (katikati) akibadilishana jambo na mmoja wa
wanachama wakongwe wa kata ya Elerai hivi karibuni.