Friday, March 08, 2013

Ziara ya Rais wa Zanzibar Mkoa wa Mjini


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mwakilishi wa Kiembesamaki Mansoor Yussuf Himid, alipowasili katika viwanja vya Pwani ya Mazizini kuzindua Soko la Samaki.
Mkurugenzi wa Idara ya Uvuvi Zanzibar Mussa Aboud Jumbe kushoto akimuonesha picha za maeneo yaliotoswa matumbae ya kutengeneza, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika ziara ya kutembelea Maendeleo ya Mkoa wa Mjini Magharibi.
Wavuvi wa Dago la Mazizini Pwani wakimsikiliza Rais wa Zanzibar wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiwahutubia baada ya kuwafungulia Soko lao la Samaki, lililojengwa kwa nguvu za Wananchi na Mradi wa Tasaf Unguja.
Boti za Patro za Idara ya Uvuvi Zanzibar ambazo hutumika katika kufanyia doria katika bahari ya Zanzibar kupambana na Wavuvi haramu wanaoharibu mazingira ya baharini.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...