Waziri mkuu Mh.Mizengo Pinda akimkabidhi tuzo ya shukrani kwa Mkurugenzi wa Tigo Tanzania Diego Gutierrez kwa ajili ya mchango wao katika kuwaletea wananchi huduma ya sms ambayo itawawezesha wananchi kujua hali za figo zao popote walipo kupitia simu zao za mkononi.