Wednesday, February 13, 2013

Ligi ya mabingwa Ulaya leo balaa ni kati ya Real Madrid na Manchester United

Timu za Real Madrid ya Hispania na Manchester United ya Uingereza leo zitamenya vikali katika mechi ya Ligi ya mabingwa wa Ulaya.
Mechi hiyo itapigwa katika uwanja wa Santiago bernabeu nchini Hisppani ambapo mbali na kutafuta point tatu lakini zaidi kuweka heshima.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...