Wednesday, February 13, 2013

Serikali ya Tanzania yatoa ajira kwa waalimu wapya 26,537 kwa kipindi cha mwaka 2012/13


Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dk. Shukuru Kawambwa.(Picha na Maktaba).
Jumla ya waalimu 26,537 wameajiriwa na serikali kwa mwaka wa fedha 2012/13. Walimu wa ngazi ya cheti walioajiriwa ni 13,568. Kati yao walimu 13,527 wamepangiwa kufanya kazi katika shule za msingi zilizopo kwenye halmashauri na walimu 41 wamepangwa katika shule za msingi za mazoezi zilizopo chini ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi. Jumla ya walimu wa sekondari na vyuo vyuo vya ualimu walioajiriwa ni 12,973 wakiwemo walimu walimu wa shahada 8,887 na wa stashahada ni 4,086.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...