Wednesday, February 13, 2013

ECOBANK YAKABIDHI ZAWADI KWA MSHINDI WA SHINDANO LA SHINDA NA BABKUBWA LEO


Zawadi iliyotolewa kwa mshindi
 Mkuu wa  Kitengo cha Sekta ya Umma wa Ecobank, Ndabu Swire akizungumza wakati wa hafala ya kutoa zawadi kwa mshindi wa Shindano la Babkubwa lililoendeshwa na benki hiyo jijini Dar es Salaam leo.
 Waandishi wa habari wakiwa kazini.
 Mkurugenzi Mkuu wa Ecobank, Enoch Osei-Safo akizungumza wakati wa kutoa zawadi kwa mshindi wa shindano la shinda na Babkubwa.
 Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi, wafanyabiashara na wateja wakubwa wa Ecobank, Joyce Makui akizungumza wakati wa hafla ya kutoa zawadi kwa mshindi wa shindano la Shinda na Babkubwa
 Ipyana Mwakasaka akijaribu kifaa chake alichokabidhiwa mchana huu na Ecobank baada ya kuibuka mshindi katika shindano la Shinda na Babkubwa lililoendeshwa na benki hiyo.
 Ipyana Mwakasaka akijaribu kifaa chake alichokabidhiwa mchana huu na Ecobank baada ya kuibuka mshindi katika shindano la Shinda na Babkubwa lililoendeshwa na benki hiyo.
 Mkuu wa Ecobank, Enoch Osei-Safo (kushoto) akimkabidhi funguo ya gari aina Hyundai Tucson ix35 lenye thamani ya shilingi milioni 65 mshindi wa shindano la Shinda na Babkubwa, Ipyana Mwakasaka
 Ipyana Mwakasaka akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukabidhiwa zawadi yake.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...