Saturday, April 06, 2013

MSANII WA BONGO FLEVA AFARIKI DUNIA KWA KUJIDUNGA SINDANO ZA MADAWA YA KULEVYA....!!

MSANII chipukizi wa muziki wa kizazi kipya aliyetambulika kwa jina moja la Rocky mkazi wa Kawe, Dar amefariki dunia baada ya kujidunga madawa ya kulevya.


Kwa mujibu wa chanzo kilichoshuhudia tukio hilo na kuomba hifadhi ya jina lake, marehemu anayekadiriwa kuwa na umri wa
Ray C

AFUNGWA MIAKA 10 JELA KWA KOSA LA "KUMPIGA DENDA" NA KUMTOMASA UKENI BINTI WA MIAKA 13 HUKO MPANDA

MAHAKAMA Hakimu ya Mkazi ya Wilaya ya Mpanda imemhukumu Kassim Lugendo (41) mkazi wa kijiji cha Kambanga tarafa ya Kabungu kifungo cha miaka 10 jela kwa kosa la kumnyonya ulimi mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 13, anayesoma darasa la tano katika Shule ya Msingi Igalula, bila ridhaa yake.

Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Chiganga Tengwa alitoa hukumu hiyo jana baada ya kuridhika na ushahidi uliotolewa mahakamani hapo.

Awali katika kesi hiyo, Mwendesha Mashtaka, Mkaguzi wa Polisi, Ally Mbwijo aliieleza mahakama hiyo kuwa mshitakiwa Lugendo alitenda kosa hilo Machi 30 mwaka jana, saa sita mchana akiwa nyumbani kwake.

Ilidaiwa kuwa siku hiyo ya tukio mtoto huyo alikuwa akitoka shuleni akielekea nyumbani kwao ndipo mshitakiwa alipoona anapita karibu ya nyumba yake ambapo alimwita msichana huyo na kisha alimwingiza kwa nguvu nyumbani kwake.

TANZANIA YAONGOZA KWA UNYWAJI WA POMBE ZA KIENYEJI (MATAPUTAPU)

Pombe ya kienyeji ikiandaliwa tayari kupelekwa kwa walaji 

UTAFITI wa Kituo cha Habari cha Marekani CNN, umebaini kwamba Tanzania ni nchi ya sita barani Afrika kwa watu wake kunywa pombe chafu (mataputapu).
Utafiti huo wa Machi 23 mwaka huu, ulibaini kwamba Uganda inaongoza kwa kunywa pombe chafu maarufu kama Luwombo kwa asilimia 14.52 ikifuatiwa na Rwanda kwa asilimia 6.44.

Kwa mujibu wa utafiti huo, Tanzania inashika nafasi ya tano kwa kuwa na asilimia 4.52, ikiwa nyuma ya Burundi yenye asilimia 5.07.

Ivory Coast imekuwa nyuma ya Tanzania kwa kuwa asilimia 3.55 huku Tanzania ikiipiku Burkina Faso iliyoambulia asilimia 3.77, kwa wa watu wake kunywa pombe chafu.

HUYU NDO BIBI ANAYEDAI KUISIKIA SAUTI YA MUNGU

Amani usiamini! Bibi kizee Veronica Amos Kayombo (76), mwenyeji wa Ludewa, Njombe anayeishi Buza, Dar, amedai kuisikia sauti ya Mungu ikimuagiza akaonane na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete ampe ujumbe muhimu, shuka nayo.

MAHOJIANO MAALUM

Akizungumza katika mahojiano maalum mwanzoni mwa wiki hii akiwa nyumbani kwake Buza, Bibi Veronica alisema amekuwa akitokewa na Mungu mara kwa mara na kumpa maelekezo mengi ambayo anatakiwa kuyatoa pale atakapofika kwa Mheshimiwa Rais Kikwete.

AUNT EZEKIEL ANASWA NDANI YA POZI LA NUSU UCHI UKUMBINI

Kweli sikio la kufa halisikii dawa! Licha kuolewa na Sunday Demonte, msanii wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel ametia aibu kwa mara nyingine tena baada ya kunaswa nusu utupu ukumbini usiku wa manane.
  

Tukio hilo lililoshuhudiwa na mwandishi wetu lilijiri juzikati katika Ukumbi wa Nyumbani, mjini hapa ambapo Aunt aliwashangaza mashabiki waliofurika kwenye shoo ya Bendi ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’.

Aunt alivaa kipensi kilichoacha mapaja yote wazi hadi kulazimika kujifunika kwa pochi na kitopu ‘transiparenti’ kilichoonesha kila kitu hadi ‘chakula ya mtoto’.

Zanzibar yapiga marufuku ndoa za jinsia moja.

Mhe. Abubakar Khamis Bakar, Waziri wa Katiba na Sheria wa ZanzibarMhe. Abubakar Khamis Bakar, Waziri wa Katiba na Sheria wa Zanzibar

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, imetunga sheria ya kupiga marufuku ndoa za watu jinsia moja.
Waziri wa Katiba na Sheria wa Zanzibar, Bwana Abubakar Khamis Bakar, aliyasema hayo kwenye Kikao cha Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakati akijibu swali la Mwakilishi wa Jimbo la Wawi, Saleh Nassor Juma kutoka Chama cha Wananchi (CUF).
 
Katika swali lake, Bw. Saleh Nassor Juma alitaka kujua ni lini Serikali ya Zanzibar itatunga sheria ya kukataza ndoa hizo na kuweka adhabu kali kwa watu ambao watabainika kufanya vitendo hivyo vichafu.

Waziri Abubakar amesema, ndoa za watu wa jinsia moja ni kinyume na utamaduni Zanzibar na kwamba sheria hiyo imeweka adhabu ya kifungo cha miaka saba kwa wale wote watakaopatikana na hatia hiyo.
Pia alisema kama ninavyomnukuu: "Sheria hii inahusu makosa mengi yakiwemo ya ubakaji, zinaa, usagaji na umalaya ambayo yote yana adhabu ya kifungo cha maisha au miaka isiyopungua 30 gerezani," mwisho wa kunukuu.

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI TAREHE 06.04.2013

.
.
.
.

DIAMOND, OMMY DIMPOZ WAPIGANA VIJEMBE KWENYE TWITTER...!!

Mapema leo, Diamond Platnumz ali-tweet kupitia ukurasa wake wa Twitter kuhusu mambo ya mapenzi na mahusiano ...
In between, Ommy Dimpoz jumped in... This is too far hilarious ... Ha ha ha ...
Ni kweli haya yanatokea??!!
Check them tweets hapa chini :

MACHANGUDOA WA RWANDA WAZITIKISA NDOA ZA WABUNGE, WAKE ZAO WAHOFIA KUAMBUKIZWA UKIMWI....!!

Ndoa za baadhi ya wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zinadaiwa kuwaka moto kufuatia kuibuka kwa wimbi la madadapoa raia wa Rwanda ambao wamekiri kuwapa uroda waheshimiwa hao wanapokuwa mjengoni, Dodoma,Uchunguzi umebaini kuwa, wake wa waheshimiwa hao walipata mshtuko mkubwa hivi karibuni kufuatia taarifa ya kukamatwa kwa machangudoa hao, Esperance Hagenimana (28), Vestina Zaninika (27) na Ziada Mukamurera (25) huku wawili kati yao wakikutwa na dawa za kupunguza makali ya Virusi Vya Ukimwi (ARVs).
 

Friday, April 05, 2013

CHEK LIST YA WASANII WATAKAO PERFORM SHEREHE ZA KUAPISHWA RAISI UHURU KENYATA

Jana nilitoa baadhi ya majina ya wasanii waliotajwa kuperfom kwenye sherehe za kuapishwa kwa Raisi mpya wa Kenya , Kenyata, leo hii nimepokea list kamili ya wasanii watakaoshiriki na safari hii Jaguar hakuachwa nyuma.
 
List hiyo ni Daddy Owen, Jaguar, Emmy Kosgey, Rufftone, Ringtone, Abass, V6, Sauti Sol, Sarakasi Dancers, Madtraxx, ambao watu wengi walikuwa wakitegemea kuona list ya majina haya.

 
wengine ni pamoja na Elsie na Visita, walioimba wimbo wa jubilee, pamoja na Ally B, Gkon na  Kavi Pratt.its more about music industry and social issues in and out of bongo land

MTUHUMIWA WA MAUAJI YA PADRI MUSHI MAHAKAMANI

Mtuhumiwa wa mauaji ya Padri Evarist Mushi wa Kanisa Katoliki parokia ya minara miwili mjini Zanzibar, Omar Mussa Makame (35) akiongozwa na Askari polisi kuingia katika Mahakama Kuu ya Zanzibar  kusikiliza kesi inayomkabili.
 wa Mauaji ya Padri Evarist Mushi wa Kanisa Katoliki parokia ya minara miwili mjini Zanzibar, Omar Mussa Makame (35) kulia akizungumza na mawakili wake Abdalla Juma kushoto na Rajab Abdalla muda mfupi baada ya kutajwa kwa kesi yake Mahakamani hapo. 
 Mawakili wanaomtetea Mtuhumiwa wa mauaji ya Padri , Evarist Mushi wa Kanisa Katoliki parokia ya minara miwili mjini Zanzibar, Omar Mussa Makame (35) wakili Abdalla Juma (kulia) na Rajab Abdalla wakiwa mezani pao  kabla ya kutajwa kwa kesi ya mteja wao katika mahakama Kuu Vuga mjini Zanzibar
Mtuhumiwa wa Mauaji ya Padri Evarist Mushi wa Kanisa Katoliki parokia ya minara miwili mjini Zanzibar, Omar Mussa Makame (35) akiwa katika Mahakama Kuu ya Zanzibar kabla ya kesi yake kutajwa mahakamani hapo.
 Picha zote na Haroub Hussein

MAKAMU WA RAIS DKT BILAL, ASHIRIKI SHUGHULI ZA KUAGA MWILI WA MAREHEMU JAJI MSTAAFU

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa marehemu Jaji Mstaafu, Justice Ernest Mwipopo, aliyefariki kwa ajali ya gari April 3, huko maeneo ya Morogoro. Shughuli hizo za kuaga mwili huo zimefanyika leo kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, ambapo baada ya shughuli hizo mwili ulisafirishwa kuelekea Mkoani Iringa kwa maziko kesho.
 Mmoja wa majaji akibeba picha ya marehemu wakati majaji hao wakishuha jeneza hilo lenye mwili wa marehemu, ili kuanza shughuli za kuaga katika viwanja vya Karimjee leo.

MZEE MANGULA KUFUNGA NDOA NA MKUU WA SHULE YENYE JINA LAKE


Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Phillip Mangula anatarajia kufunga ndoa kesho katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kusini, mjini Njombe.
Mzee Mangula anafunga ndoa na Mkuu wa Sekondari ya Philip Mangula, iliyopo wilayani Wanging’ombe, mkoani Njombe, Yolanda Kaberege.


Hatua hiyo ya Mzee Mangula kuoa inakuja baada ya aliyekuwa mke wake kufariki dunia mwaka 2004, kutokana na ugonjwa wa saratani.

Msemaji wa familia ya Mzee Mangula ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria Tanzania (OUT) tawi la Njombe, Dk Lechion Kilimike alilieleza Mwananchi kuwa ndoa hiyo itaongozwa na Askofu Mstaafu wa Kanisa hilo, Solomon Swalo.

MAGAZETI YA LEO APRIL 5, 2013


6 6b9aa

3 17596

4 af0df

KAJALA APEWA SHAVU JINGINE NA WEMA...........!!!!



Muigizaji na Miss Tanzania wa zamani Wema Sepetu amesema licha ya kumsainisha Kajala Masanja kwenye kampuni yake, hategemei kumfanyisha kazi kurudisha shilingi milioni 13 alizomtolea kwenye hukumu yake.

Akiongea kwenye kipindi cha XXL, Wema amesema Kajala atakuwa akifanya kazi zake lakini atakuwa akimlipa kama kawaida. Kwa kuanza Kajala ataigiza kama mhusika mkuu kwenye filamu iitwayo Princess Sasha.
“Tutaenda kuishoot nje ya Dar, ninataka kuishoot mandhari fulani hivi kama ya kijijini. Ni mtoto wa mfalme, Kajala ndo atakuwa Princess Sasha, she is going to be the main character, “ alisema Wema.
Kajla

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...