Wednesday, May 15, 2013

WALIONASWA WAKIFANYA MAPENZI NA MBWA HUKO MOMBASA WAACHIWA KWA DHAMANA...!!


 

Washukiwa wa ukahaba, wasichana 11 na mzungu kutoka Uswizi, waachiliwa kwa dhamana. Awali iliripotiwa kuwa wasichana hao walibambwa wakifanya ngono na mbwa.  Ripoti mpya zinasema suala la mbwa kuhusika na si kweli, na nyumba waliyokamatwa haina hata mbwa.

ANGALIA VIDEO HAPO CHINI......

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...