Na bado naendelea ku experience mambo magumu zaidi kadri ninavyozidi kuwa mkubwa.
Siku za karibuni nimekuwa nikipigwa vita sana na watu wenye uwezo mkubwa kifedha , ki umri na hata wenye ukubwa wa connection katika hii industry ya muziki. Wanaomiliki chombo cha habari.
Nasimama na kusema kuwa sitokata tamaa, kwani lengo lao kubwa ni kuona na kuhakikisha nimeanguka kabisa na sipo katika ramani ya muziki.
Watu hao ambao vita yao ilikuwa baridi miaka kumi iliopita, sasa inazidi kuwa moto baada ya kutambua kuwa mimi ni mtu mwenye maamuzi yangu na misimamo yangu bila kuburuzwa.
Wanapita kila mahali kuhakikisha kila mrija unaoniingizia chochote unakatika, na hiyo ni kutaka kuuthibitishia umma wa Tanzania kuwa hakuna msanii anaeweza ku survive bila wao.



Naked
model on a train in Germany Wake-up call ... but some passengers on the
train still managed to stay asleep TNI Press But remarkably, some of
them gave barely a sideways glance as she walked through the carriage in
the buff. The model’s naked journey was part of a project put together
by Swiss artist Milo Moire. Entitled The Script System, the stunt was
intended as a way of "shaking up the ordinary". Swiss artist dreamed up
scheme to have naked model take a train ride in Germany Stunt ...


Mbunge wa kuteuliwa, James Mbatia. 










